Utambulisho wa Mahusiano kwa member wote wa JamiiForums

Utambulisho wa Mahusiano kwa member wote wa JamiiForums

Mmh! Mbona kama fitna zimepangwa kumuharibia mtu huko PM. Haya ngoja nikumbuke utambulisho wangu.. Nitarudi tena.
 
Naitwa Paul Ellyson Lugiko

Nimezaliwa tarehe 15/01/1990

Nina umri wa miaka 26

Nipo naishi Wilaya Bariadi Mkoa Mpya wa Simiyu

Sijaoa na wala sina mchumba, msebule wala mkorido sababu jogoo wangu hawifi

Nipo nakufa na utamu wangu kama muwa
 
Ninamiaka 30 ninawatoto wa5 na mwakani naowaa sukari ikipatikana
 
Mimi ni (longi mapexa)Miaka yangu si muhimu saaana kwani ni namba tu

Bado sijaoa nitaoa siku nikinunua nyumba kutoka kwenye project ya safari city Arusha pindi zitakapo kamilika.

Eeh Mwenyeenzi Mungu nisaidia!

Mimi ni mkazi muaminifu wa Arusha a.k.a A town a.k.a R.chuga....
Akhsanteni!
 
39 yrs watoto wa4 sina mke nina experience ya kuoa na kuacha. Mpaka sasa nimeacha wanne... nina mpango wa kuoa tena. Hapo kila mtoto na mama yake
 
Nina miaka 26 nipo HIV/AIDS positive na bado cjaolewa wala cna mtoto naish A town
JF imeingiliwa , nani kauliza hayo? Read the heading of the post! Oh eti mtihani mgumu , kwa hivi lazima ufeli tu mtihani by not following the instructions!
 
Back
Top Bottom