Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
"Sina Mtoto na Mchepuko Mmoja umenizalia watoto 2"Nina33yrs mke mmoja sina mtoto na mchepuko mmoja umenizalia watoto 2..
Rejea kichwa cha khabari hapo juu kinasemaje?Hahahaha usinifanyie hivyo jamani.
Nina miaka12,nina watoto 52Nina miaka 52,nina watoto12
Usichekeshe umati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],unakufaje na ytamu?,piga hata pu***u [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naitwa Paul Ellyson Lugiko
Nimezaliwa tarehe 15/01/1990
Nina umri wa miaka 26
Nipo naishi Wilaya Bariadi Mkoa Mpya wa Simiyu
Sijaoa na wala sina mchumba, msebule wala mkorido sababu jogoo wangu hawifi
Nipo nakufa na utamu wangu kama muwa
Na mimi nasubiri wa kwako bana, mbona hufunguki??Kuna mtu nasubiri utambulisho wake....
Wewe utanifaa sana, na mimi ni HIV positive halafu niko singeli , lazima nikutafute.Nina miaka 26 nipo HIV/AIDS positive na bado cjaolewa wala cna mtoto naish A town
Aisee mbona wewe hujitambulishi??Mtaje
Mbona nimeshafunguka hapo juu mwaegoNa mimi nasubiri wa kwako bana, mbona hufunguki??
Hahhahahaaaa subiri tu kuwa mpoleAisee mbona wewe hujitambulishi??
We balaaNa miaka 21 na watoto sita bado sijaoa
Mbona kawaida mkuuWe balaa
Bado kwanza nausoma mchezo,Rejea kichwa cha khabari hapo juu kinasemaje?
"Sina Mtoto na Mchepuko Mmoja umenizalia watoto 2"
Seriously!!?
Hata mimi naona kwa kweli.Mpaka watoto 2 unauita mchepuko? Huyo ni mke umemkopa mahari tu na kwao wanaisubiri.
Tumeanzia kwako bibie tukimaliza huko tutakuja kwangu shaka ya nini sasa na kuusoma mchezo?hata ukisema una miaka miwili au 98 tutaamini maana hauna sababu ya kudanganya.Bado kwanza nausoma mchezo,
Wewe lakini sijakuona ukikitendea kazi kichwa cha khabari.