Pamoja
Wewe timu ganiyaani kuwa shabiki wa simba au man-u ni sawa na kuwa mwana CCM, kuna kitu muhimu umepungukiwa????*** eheeee mfano mzurii ni i yule mpiga domo wa mikia ( shabiki wa simba+ManU) yule yuko sawa kweli yule??,
Ukiachana na siasa za usimba na uyanga, timu za mikoani zipo vizuri kwenye kulisakata kabumbu kuliko hizi timu za kariakoo, wanachozidiwa ni uwekezaji na upendeleo wa viongozi wa soka (TFF +bodi ya ligi) na waamuzi tu. Laiti kama kungekuwa na usawa na haki, sidhani kama hizi timu za kariakoo zingekuwa zinapokezana ubingwa peke yao tu.Huu utaratibu wa watanzania wengi kushabikia timu mbili tu (yanga na simba) ndio unarudisha nyuma soka letu, sijui nani aliuanzisha? Naanzisha kampeni ya shabikia timu iliyokaribu na wewe. Kwa kuanza na kampeni Mimi nishabiki wa Mbeya city, ulaya red devil.
Na ni kwa sababu viongozi na waamuzi either ni yanga au simba na ukija kwa mashabiki either yanga au simba na ndio maana suala la waamuzi kuboronga linajadiliwa ikitokea kwa mechi za simba au yanga ila ikitokea kwenye mechi ya ndanda na lipuli inakua sio habari. Hapo ndipo mchawi wa soka letu alipo.Ukiachana na siasa za usimba na uyanga, timu za mikoani zipo vizuri kwenye kulisakata kabumbu kuliko hizi timu za kariakoo, wanachozidiwa ni uwekezaji na upendeleo wa viongozi wa soka (TFF +bodi ya ligi) na waamuzi tu. Laiti kama kungekuwa na usawa na haki, sidhani kama hizi timu za kariakoo zingekuwa zinapokezana ubingwa peke yao tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli zikicheza timu zenye mashabiki wachache hakuna ufuatiliaji unaofanyika,,,Na ni kwa sababu viongozi na waamuzi either ni yanga au simba na ukija kwa mashabiki either yanga au simba na ndio maana suala la waamuzi kuboronga linajadiliwa ikitokea kwa mechi za simba au yanga ila ikitokea kwenye mechi ya ndanda na lipuli inakua sio habari. Hapo ndipo mchawi wa soka letu alipo.