Ingependeza Kama tungetambuana kwa ushabiki wa timu tunazoshabikia ili hata ukitoa wazo tujue kabisa hapa Simba au Yanga ,,,Liverpool au Arsenal. Trebla hapa Tanzania Shabiki wa Simba,,,Ulaya nipo Arsenal the gunners washika bunduki wa London ingawa sasa bunduki hazina Risasi. Je ww ni Shabiki wa timu Zipi?