Miss lb4lyf
Member
- Sep 3, 2022
- 30
- 19
- Thread starter
- #21
HRMKozi gani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HRMKozi gani...
Afu sijali wala nini ety,, Ur welcome brooWewe siyo muhitimu wa Mzumbe...
Sababu ni kwamba hujui hata kuandika.
Nilipita then nikakaa huwezi Amini😅😅Huko mzumbe ulipita, ulikaa au ulikwenda Soma?
Level gani?
BHRM brooLevel gani?
Ur welcomeSawa rafiki jisikie huru juc jokes tu🤗🤗
Huna tofauti na difficult customer ,,so let me let you vent bro😊Afu sijali wala nini ety,, Ur welcome broo
Hello Marry in "Prison Break voice"Naitwa marry g,muhitimu from Mzumbe University
Unafaa kuwe wife material kuwa msimamizi wa familia yanguLevel gani?
Siku ukiwa HR wangu naacha kazi, na uje uniite mbwa nitakuwa nimekaa paleee reception.
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa....Umeweka picha ya jamaa yako kweny avatar hatumuogopi!! Hata pesa Zina picha ya nyerere muasisi wa ccm ila chadema wanatumia na wanazo kibao.
Duuhhhh .....una shida weye si bure.Unafaa kuwe wife material kuwa msimamizi wa familia yangu
How old are you man? Okay by the way I won't waste my time hereSiku ukiwa HR wangu naacha kazi, na uje uniite mbwa nitakuwa nimekaa paleee reception.
I'm not into miongozo yako broo,,maneno yako and whatever hayawezi kua mapya kwangu maybe I'm young kwako but naweza kukunza several thing's 'usiruhusu mihemko ikutawale in ur life and jifunze kumuheshimu mtu yoyote unaekutana kweny maisha yako ata kama humpendi ur SIR GOD so u won't predict ur tomorrow na utakae kutana iyo keshoSasa mgeni wetu mbona umeamua kubadili username kutoka MarryG kwenda MrsGaston, na Gaston mwenyewe ukaamua kabisa kumuweka kwenye Avatar😂😂View attachment 2347773
Sasa mdogo wangu, naomba uje PM(Private Messages) nikupe miongozo ya humu jf kabla hujayakanyaga sasa hivii🤣🤣🤣
Humu siyo fb dada, kaa kimastaa.
ShukraniKaribu JF msomi
Naona umeamua kumtoa kwenye avatar🤣🤣..I'm not into miongozo yako broo,,maneno yako and whatever hayawezi kua mapya kwangu maybe I'm young kwako but naweza kukunza several thing's 'usiruhusu mihemko ikutawale in ur life and jifunze kumuheshimu mtu yoyote unaekutana kweny maisha yako ata kama humpendi ur SIR GOD so u won't predict ur tomorrow na utakae kutana iyo kesho
Na kwasababu sijafunzwa kum disrespect mtu yeyote sito react chocho utakacho sema kwa sababu hakiniongezei wala kunipunguzia chochote
I will remain the same I used to be
Then hakun ulazim huo najua kilichonileta JF and thanks to God nimepata nilichotaka so Acha kumitizame tu
Ata ww ukitaka muweke mwayaNaona umeamua kumtoa kwenye avatar🤣🤣..
Usiwe serious sana, hapa tuna chitchat tuu...
Ukiwa serious sana plus hizi tozo utapasuka ubongo bureee...