utambulisho

utambulisho

nguruseboy

New Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Hello wana jf natumaini wazima wa afya, mimi ni mgeni humu ndani so naomba ushirikiano wenu wa hali na mali natanguliza shukrani. asante
 
Karibu sana mkuu...humu kuna watu wa aina zote kuanzia walalahoi , matajiri, vichaa, wenye akili nyingi, mbumbumbu, wachungaji, masheikh hadi mawaziri. Sina hakika kama Mhe. Rais yupo ila inawezekana. Kazi kwako
 
Karibu sana mkuu...humu kuna watu wa aina zote kuanzia walalahoi , matajiri, vichaa, wenye akili nyingi, mbumbumbu, wachungaji, masheikh hadi mawaziri. Sina hakika kama Mhe. Rais yupo ila inawezekana. Kazi kwako

Hujamwambia escrow pia wanapatikana
 
Karibu sana mkuu...humu kuna watu wa aina zote kuanzia walalahoi , matajiri, vichaa, wenye akili nyingi, mbumbumbu, wachungaji, masheikh hadi mawaziri. Sina hakika kama Mhe. Rais yupo ila inawezekana. Kazi kwako

hahahahaha.. mkuu alola nashukuru sana ila duh mhesh raisi kama yupo nadhani matatizo yetu yataishia hapa hapa aina aja ya kujazana ikulu
 
Karibu sana mkuu...humu kuna watu wa aina zote kuanzia walalahoi , matajiri, vichaa, wenye akili nyingi, mbumbumbu, wachungaji, masheikh hadi mawaziri. Sina hakika kama Mhe. Rais yupo ila inawezekana. Kazi kwako

Naona maskini na fukara tu ndio wanakosena humu maana....!!!
 
Back
Top Bottom