Utambuzi na Msaada wa Tiba

Utambuzi na Msaada wa Tiba

IGUDUNG'WA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2011
Posts
2,071
Reaction score
1,317
Ndugu zangu JF naomba kujua hili tunda kwa kiswahili au kwa kiingereza linaitwaje?Kisukuma wanaita Ng'wicha.

Inasemekana Tunda hili likiwa bado changa ukilichanja na kiwembe kisha ukachanja dushelele lako nakupaka damu yako kwa hilo tunda basi mzigo wako utakuwa kinyama kadri tunda hilo linavokuwa kubwa.

Wasomi wa mimea hasa kutoka SUA na kwingineko nijuzeni tunda hilo linaitwa vipi ili nifatilie matumizi yake katika google
IMG_20190629_125239.jpeg
IMG_20190629_125208.jpeg
 
Back
Top Bottom