kitimoto au sioHabari wadau
Ukweli ni kwamba miaka mia moja nyuma hatukuwepo na baada ya miaka mia moja mbele hatutakuwepo (so sad[emoji24][emoji24])
"Kila nafsi lazima ionje kifo"[emoji24][emoji24]
Sasa je utamiss kitu gani baada ya kuondoka katika huu ulimwengu?
Binafsi mimi nitamiss nyama ya kukaangaView attachment 1900077
Habari wadau
Ukweli ni kwamba miaka mia moja nyuma hatukuwepo na baada ya miaka mia moja mbele hatutakuwepo (so sad[emoji24][emoji24])
"Kila nafsi lazima ionje kifo"[emoji24][emoji24]
Sasa je utamiss kitu gani baada ya kuondoka katika huu ulimwengu?
Binafsi mimi nitamiss nyama ya kukaangaView attachment 1900077