Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani mkubwa weweNitamiss kuwaroga wanadamu
[emoji23][emoji23][emoji24][emoji24]Mie ni Mbususu tu kwakweli, Nazipenda mnoo ila basi tu Inashindikana kuwa nayo muda wote ila nitakapopata pesa nyingi nitakuwa nalala na mbususu mbili pembeni nimezishika tu yaanj nainjoigi kweli tena kama Inanywele nywelee [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Raha zote za duniani hutomiss kitu mkuu?
Mimi Maku na Nyero.Habari wadau
Ukweli ni kwamba miaka mia moja nyuma hatukuwepo na baada ya miaka mia moja mbele hatutakuwepo (so sad[emoji24][emoji24])
"Kila nafsi lazima ionje kifo"[emoji24][emoji24]
Sasa je utamiss kitu gani baada ya kuondoka katika huu ulimwengu?
Binafsi mimi nitamiss nyama ya kukaangaView attachment 1900077
Huyu mbona kama yupo kwenye lindi la mawazo?Mimi nitammiss sana bwana kitimoto😁😁😁
View attachment 1900251
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Hivi vitu nitanvimiss asee[emoji134]
1. Kitimoto
2. Robertson wine, Heineken
3. Kudrive masafaa
4. Sex
5. Kukata gogo
6.music
7.umbea
Daaaah nisife jomoni[emoji848]