Utamjuaje mwanamke mruka ukuta?

Ya kweli hayo au ndio changamsha genge
 
Nadhani ni zile tabia za kwenye vijiwe wakikaa wanadanganyana ndio wakipata wanawake wanataka wakajaribu.

Ila kiujumla wanaume mna roho mbaya hamna huruma.
Siyo wote tuna roho mbaya .kama unavyosema watu wanaambiana kuwa ni nzuri sana kufanya huko.sasa kila mtu anataka kujaribu.haya ukija kwa nyie wakina Dada mko bize masaa 24 kuhakikisha makalio yanaonekana na hata kujitengeneza na madawa ili iweje? Hapa wote wana makosa wanawake kwa wanaume.japo naamini wanaume ndio tuna uwezo wa kubadilisha mawazo ya wanawake kuhusiana na tabia hiyo chafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…