Utamjuaje mwanamke mruka ukuta?

Utamjuaje mwanamke mruka ukuta?

Mzee mmoja alitusimulia-alisema utamjua tu,sababu ukiwa una do nae muangalie kwamakini,utamuona anang'ata KIDOLE chake cha mkononi halafu anakung'uta kidole kama anaehisi maumivu,a nafanya aaasyiiiiiiiiiiiii,ukionahivyo aaa ujue hilo ni gari la maji taka we fungua koki mwaga maji!
 
duh aisee sasa hii ni kumharibu mtu bila ridhaa yake unakua unamkomoa au mbona mtatuharibia warembo wetu anyway hiyo vicks ni vicks kingo au nini na inapatikana wapi .
Ni uharibifu tu! Na wanaume wengi wanao wafanyia wadada hii kitu wana wake zao wametulia na marinda yote yapo! Mungu anawaona nyie mnaoharibu watoto za watu.
 
Back
Top Bottom