Ninachojua wabongo tunapenda Sana kuchafuana ila
Membe kwa kazi za ujasusi alizozifanya kwa taifa ili hapaswi kupewa vijembe kama watu wanavyofanya.
Mtu unalala, unaamka, unatembea,unakula, unavimbewa, unakunya na kukesha baa, unaona nchi ipo huru unaropoka tu na huelewi wakina nani wanafanya ufanye hayo ...!
Achana na wanasiasa uchwara wengi wa ccm katika watu muhimu taifa limepoteza Basi Ni Mahiga na Membe R.I.P.
Tuache chuki mambo ya kusema mtu wakati una ushahidi!! Pesa za libya zilikuwa pesa ndogo Sana hazifiki hata bilioni 10 na ziliibiwa kwa ajiri ya uchaguzi wa ccm sio Membe aliyeiba izo pesa!!!
Fanyeni siasa zenu lakini mtu kama alifanya mazuri mpeni maua yake!!
Kwangu mimi Membe simdai katuokoa na mambo mengi Sana kama taifa tungekuwa tunajuta sasahivi kuwa na madicteta uchwara, Rais fisadi Lowassa, vyama uchwara vya upinzani kushika dola.
Kosa lake kubwa ni kutaka kuwa rais wakati ni mtumishi wa idara hii tu ndio imemponza maana ni mwiko mtumishi wa idara kuwa Namba moja!!!
Rest in peace Membe!!