GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #21
Hata mimi naamini hivyo na ninapenda kuwafundisha wengine maadam wapo serious.Personally ntamshauri the general things ambazo sio siri bali ni general knowledge.
Kila mtu ana angle yake kwenye business ambayo hata mtu akiiga vipi bado hataweza kuwa efficient kiivyo.
Lakini kuna vitu general ambavyo sio dhambi ukimshirikisha mtu.
Mimi ilishanitokea many times na hua nawashauri bila jam, though kila biashara ina siri zake na hizo huez kutoa bali ni jukumu lake kuzitafuta
Huez kumtafunia kila kitu lakn sidhani kama n kosa kumuonyesha njia
πππHii ni bangi stiki ya pili naivuta π¬π¬π¬ weekend tulivu,
anyway, usiwe mwepesi kukutana nae, jipe u-busy na ratiba zako.
hakikisha kabla ya kukutana nae umepata baadhi ya taarifa zake na usalama uwepo.
Kweli siyo mshirikina. Ni mtu ninayemfahamu. Ni mcha Mungu sana. Labda kama alikosea tu katika kujieleza. Lakini katika masuala ya kumfanyia mtu ubaya hutampata.Hapana ni mshirikina mbwa huyo mwambie nimehama kimwili nikirudi utamwambia mbwa yule.
Lakini vikao vingine vinaweza vikageuka fursa.Mfanyabiasha yeyote makini hatokutana naye na tena hatotamka wazi wazi kuwa hatomuona...
Lakini chuo sio mtaani.Namwacha aje, ntamsikiliza anieleze namna alivyoanza na anavyofanya. Nitaona cha kumshauri.
Nilipokuwa chuo nilikua napigiwa na wanafunzi wenzangu wakihitaji msaada wa QM (Quantitative methods) na Probability kwenye courses, wengine hata siwajui na wako desperate kinyama. Niliwasaidia.
Haya utakuja na uzi kusema ningelijua tumepitia hayo mpaka biashara nikafunga uwe na wakati mwemaKweli siyo mshirikina. Ni mtu ninayemfahamu. Ni mcha Mungu sana. Labda kama alikosea tu katika kujieleza. Lakini katika masuala ya kumfanyia mtu ubaya hutampata.
Ndio maana nimeeleza hapo awali nimsikilize kwanza.Lakini chuo sio mtaani.
Chuo unaweza kumsaidia na wote mkafaulu ikawa ni win win situation.
Ila kitaa unaweza kupoteza kwa kuonesha ushirikiano nae.
Kikubwa jamaa awe makini na amjue vizuri huyo Makini ni nani na biashara iko stage gani na iko wapi, ajue je ni competitor wake au laah.