HahaaaMatokeo kidato cha nne yanatoka lini?
Mkuu naona umeamua kufunga uzi mapema mno,, hahahaMatokeo kidato cha nne yanatoka lini?
Huyu ni kichanga mkuu![emoji2]Mkuu una umri gani?
atafanya kila unachomwambia, atakununulia vitu hata hukumtuma, atakuonea aibu, she will laugh at your stupid jokes, atapenda kuspend muda mwingi na weweNaombeni tuzungumzie jinsi gani utamtambua mwanamke anaekupenda ila anashindwa kusema!! Participation kubwa itoke kwa wadada na wanawake, tunaomba mtiririke!!!
Na kwa wanaume mnaofahamu situation hii kazi ni kwenu!
Sitaki matusi! Au kuambiwa " shule zinafunguliwa lini". Kama huna cha kujibu, basi!
Jinsia yako tafadhali. Maana naona kama imekaa Mguu pande vile๐บ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌNaombeni tuzungumzie jinsi gani utamtambua mwanamke anaekupenda ila anashindwa kusema!! Participation kubwa itoke kwa wadada na wanawake, tunaomba mtiririke!!!
Na kwa wanaume mnaofahamu situation hii kazi ni kwenu!
Sitaki matusi! Au kuambiwa " shule zinafunguliwa lini". Kama huna cha kujibu, basi!
Maliza kwanza shule kijana, mapenzi yapo tu usiyaharikie..Naombeni tuzungumzie jinsi gani utamtambua mwanamke anaekupenda ila anashindwa kusema!! Participation kubwa itoke kwa wadada na wanawake, tunaomba mtiririke!!!
Na kwa wanaume mnaofahamu situation hii kazi ni kwenu!
Sitaki matusi! Au kuambiwa " shule zinafunguliwa lini". Kama huna cha kujibu, basi!
Kuna wengine wapo hivo sema jichanganye upige saundi uone kama hajawa adui yako.Mwanamke anayekupenda na interest na wewe tu anafurahia sana kuwa na wewe karibu ๐ atatafta means muonane tu frequently na vizawadi zawadi lazma ajiongeze yani lazma ahakikishe mnameet at some point kwa bahari unamaliza chap!
Hahahahah unatakiwa kwenda nae hivyo mpaka kumla tu kimya kimya tu!Kuna wengine wapo hivo sema jichanganye upige saundi uone kama hajawa adui yako.
Wazee wa kimasihara au sioHahahahah unatakiwa kwenda nae hivyo mpaka kumla tu kimya kimya tu!