Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni pm tuu mkuu? Mana Bado Sijakuelewa Niliwah jaribu kuokoka nikashindwa kuukulia wokovu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni dhana ya kiroho zaidi
Jr[emoji769]
Shetani hana shida nawe mpaka pale unapoanza kumkimbia... Wokovu sio raha, sio amani bali ni mwanzo wa vita na shetani... WOKOVU SI LELEMAMANi pm tuu mkuu? Mana Bado Sijakuelewa Niliwah jaribu kuokoka nikashindwa kuukulia wokovu..
Shetani: Adui rafiki asiye na kinyongo - JamiiForumsNi pm tuu mkuu? Mana Bado Sijakuelewa Niliwah jaribu kuokoka nikashindwa kuukulia wokovu..
Uchovu na njaa ni hatari...kilevi chochote unapaswa uwe umekula vizuri..Kuna siku nilikuwa natoka bukoba naenda Tanga,ENZI hizo gari zinapitia Uganda na Kenya,kufika Nairobi usiku baridi kalii,kupiga misele nikaingia chimbo nikapata ganja! Daah bange ikiamua kukuzingua Ni noma,nilivuta Kwanza nilisikia joto la ajabu halafu niliona kumepambazuka yaani kweupee[emoji23] toka siku ile sikuvuta Tena!!
Sent using Jamii Forums mobile app