Utamtambuaje mvuta bhangi? I mean mtumiaji wa ndumu

Ni pm tuu mkuu? Mana Bado Sijakuelewa Niliwah jaribu kuokoka nikashindwa kuukulia wokovu..
Shetani hana shida nawe mpaka pale unapoanza kumkimbia... Wokovu sio raha, sio amani bali ni mwanzo wa vita na shetani... WOKOVU SI LELEMAMA

Jr[emoji769]
 
Uchovu na njaa ni hatari...kilevi chochote unapaswa uwe umekula vizuri..
Ila kumbuka tu huo mmea huku kwetu ni jinai mbaya.
Utapimwa mkojo kama Wema Sepenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…