Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Mi nimemaliza mbona we endelea kuquote quote mashababi tu uone kama hujaja kuvunjiwa yaiKama ushakula njoo tuchome pure shada maana nimegundua unakula kushabu,,, kama hujala kaa mbal utazidi kudata mwanakwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukini-quote lazima niku-quote kwani naona una shida kubwa sana katika makuzi yako na hizo ganja inaonekana ulichelewa kuanza kuvuta au ulianza around 7 years.. Ukiacha kuni-quote maana ake mikono juu mwendo wa mateka mwanetuMi nimemaliza mbona we endelea kuquote quote mashababi tu uone kama hujaja kuvunjiwa yai
KUkini-quote lazima niku-quote kwani naona una shida kubwa sana katika makuzi yako na hizo ganja inaonekana ulichelewa kuanza kuvuta au ulianza around 7 years.. Ukiacha kuni-quote maana ake mikono juu mwendo wa mateka mwanetu
Sent using Jamii Forums mobile app
K nini sasa? Andika sms kiume mkal.. Hizo pigo za kike. Nikushauri ganja kula shada usichanganye na tumbaku na wala usile kushabu.,,, afu sio kila muda unaivuta sio hewa io janja
KK nini sasa? Andika sms kiume mkal.. Hizo pigo za kike. Nikushauri ganja kula shada usichanganye na tumbaku na wala usile kushabu.,,, afu sio kila muda unaivuta sio hewa io janja
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefika pabaya sana janjaro.. Najua unaogopa ku-surrender ila hizo pigo za x, k, mara p muachie dadaako amtumie shemeji ako
KUmefika pabaya sana janjaro.. Najua unaogopa ku-surrender ila hizo pigo za x, k, mara p muachie dadaako amtumie shemeji ako
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu ganja za siku hizi hazina stimu kabisa unapiga misumali mpk mi 3 ndio kidogoo unastuka sio kama long back ukipata paf 4 za kijiti kimoja tu mambo mswano, hizi bangi watu wanavuta na mademu zao afu wako poa tu hakuna hata maajabu, enzi hizo ukipigisha mtu pafu kadhaa anaweza kurudi kwao kwa miguu akasahau kituo cha daladala.!Teja anajulikana kwa uchovu usioisha.
Mlevi kwa harufu na kuyumba.
Mtumiaji wa jani je?
Macho yaliyovimba kwa chini. Macho mekundu muda wote, kutumbua macho sana sometimes kupisha ama kupishana na visivyoonekana ama la kufungua jicho la tatu.
[emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mvuta bange ana mawenge (kama kichwa haijakomaaa) ila kama imekomaa anakua mstaarabu. Afu wanakula Sana. Afu wana jiamini sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahamu ya kukalia sio?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukivuta ganja hutakiwi kuwa na wenge bablai..,, tupa kijiti haikufai mwana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ganja sio kitu ya mchezo.,,. Hawa watoto wadogo wanaiharibia sana sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukini-quote lazima niku-quote kwani naona una shida kubwa sana katika makuzi yako na hizo ganja inaonekana ulichelewa kuanza kuvuta au ulianza around 7 years.. Ukiacha kuni-quote maana ake mikono juu mwendo wa mateka mwanetu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu ganja za siku hizi hazina stimu kabisa unapiga misumali mpk mi 3 ndio kidogoo unastuka sio kama long back ukipata paf 4 za kijiti kimoja tu mambo mswano, hizi bangi watu wanavuta na mademu zao afu wako poa tu hakuna hata maajabu, enzi hizo ukipigisha mtu pafu kadhaa anaweza kurudi kwao kwa miguu akasahau kituo cha daladala.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe na huku uliweka kijiwe comrade.. Huu mmea hatari sana hasa kama hujakomaa.[emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Sacred weed.. Naupenda sana[emoji23][emoji23][emoji23]hasa kwa kazi yanguKumbe na huku uliweka kijiwe comrade.. Huu mmea hatari sana hasa kama hujakomaa.
Sent using Jamii Forums mobile app