kuna nyimbo leo niliisikia kwenye redio ya gari langu Altezza leo asubuhi , kuna msanii alikua anaimba akawa anasema " utamu wa Big G ni kutafuna,,," mimi maisha yangu yote nilikua ninameza Big G ,, sasa leo nikaamua kujaribu kutafuna nione kama kweli ndio inakua tamu.
kumbe ni kweli.
Kipi hujaelewa? Hata alteza hujaelewa mkuu?aliyeelewa anifahamishe nataka kuchangia