Mr Bean
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 206
- 178
hamjambo wadau.
kuna nyimbo leo niliisikia kwenye redio ya gari langu Altezza leo asubuhi , kuna msanii alikua anaimba akawa anasema " utamu wa Big G ni kutafuna,,," mimi maisha yangu yote nilikua ninameza Big G ,, sasa leo nikaamua kujaribu kutafuna nione kama kweli ndio inakua tamu.
kumbe ni kweli.
asanteni, jioni njema
kuna nyimbo leo niliisikia kwenye redio ya gari langu Altezza leo asubuhi , kuna msanii alikua anaimba akawa anasema " utamu wa Big G ni kutafuna,,," mimi maisha yangu yote nilikua ninameza Big G ,, sasa leo nikaamua kujaribu kutafuna nione kama kweli ndio inakua tamu.
kumbe ni kweli.
asanteni, jioni njema