Utamu wa bodaboda

Mkuu,watu wasikutishe maisha ni kujaribu jambo lolote muhimu ni kutusua tu!
 
Huna utofauti na mdogo wangu ninae mdanganyaga, "ntakuletea pipi nikitoka mjini "
Sikuhukumu, labda una umri gani ambao unashindwa kudadavua jambo kama hilo mwenyewe mpka kuja jf?

Oya kua bhana, mambo mengine siyo yakuleta humu!!
Sawa mkuu
 
Unataka ushauri kuhusu kuhalisha ngono na huyo ajuza wako au vipi. Ndege wafananao huruka pamoja.Haya anzeni kuruka
 
Mi nlikuaga bodaboda na naingia Jf,wakati nasubiria ajira
 
Jicho litaliwa wacha papara,tafuta chako
 
Kwahiyo ndo unaona ndoto yako inatimia?. Nakushauri hama hicho kituo na huko utakapoenda jiwekee malengo, weka akiba hadi upate hela ya kununua boda yako.
 
MKUBALIE TU MAANA HICHO KIJIWE CHOTE AMESHAKIFADHILI BODABODA, BADO WEWE TU....MAMA ANA UTU HUYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…