Utamu wa fimbo ya ukwaju

Utamu wa fimbo ya ukwaju

Maajabu ya fimbo ya ukwaju,kuna watu wanaipenda wakati inapochapa,wengine huipenda pale ikichapa sana huwa inachanikachanika na kutoa majimaji,ah fimbowe mbona fimbo we,unabalaa wewe fimbo
Hii fimbo kumchapa nayo mtu hadharani kimaadili hairuhusiwi ila ukweli ni kwamba yenyewe hufanya watu tuendelee ku exist katika Dunia.
 
Hii fimbo inatumika sehemu za siri, vichochoroni so sio kila mtu aone ubunifu wenu
Ukitaka kubaini nguvu yake angalia idadi ya watu wanaokufa kila mwaka na wanaoongezeka kila mwaka utagundua kuwa wanaoongezeka ni wengine na chanzo ni hii hii fimbo.
So fimbo hii inajitahidi kuongeza idadi ya watu duniani.
 
Ukitaka kubaini nguvu yake angalia idadi ya watu wanaokufa kila mwaka na wanaoongezeka kila mwaka utagundua kuwa wanaoongezeka ni wengine na chanzo ni hii hii fimbo.
So fimbo hii inajitahidi kuongeza idadi ya watu duniani.
Hii fimbo wanaume weng sana tunapenda kuwachapia wanawake na wanaliakwel kwel,huku akiomba aongezwe bakora Zaid maana ni mkosaji anayestahili adhabu ya viboko,,, Cha kushangaza ukimchapa wanawake sana wewe mchapaji ndo unachoka sana kulko aliyechapwa
 
Alaf inasemekana wanafunzi wa kike hawaruhusiwi kuchapwa na fimbo hii na ukimchapa na hii fimbo unaweza fungwa jela ,alaf fimbo hii imewafanya wengi kuhangamia maisha Yao hapa duniani
Mama mamama wee,hii fimbo na wanafunzi wa kike ni paka na panya,kumbe?
 
Hii fimbo wanaume weng sana tunapenda kuwachapia wanawake na wanaliakwel kwel,huku akiomba aongezwe bakora Zaid maana ni mkosaji anayestahili adhabu ya viboko,,, Cha kushangaza ukimchapa wanawake sana wewe mchapaji ndo unachoka sana kulko aliyechapwa
Duh kumbe mchapaji ndio anachoka kuliko mchapwaji! dah
 
Duh kumbe mchapaji ndio anachoka kuliko mchapwaji! dah
Yeah! Ndivyo ilivyo, yaani mchapwaji kazi yake ni kubadili mkao tu huku mchapaji akiendele kuchapa. Utafiti unaonesha kuwa watu wenye vitambi hawachapi sana sijui hii huruma wanaitoa wapi.
 
Yeah! Ndivyo ilivyo, yaani mchapwaji kazi yake ni kubadili mkao tu huku mchapaji akiendele kuchapa. Utafiti unaonesha kuwa watu wenye vitambi hawachapi sana sijui hii huruma wanaitoa wapi.
Oh kumbe uchapaji fimbo na kitambi haina urafiki,sasa vipi ikiwa mchapwaji ndio mwenye kitambi? anachapika vizuri?
 
Back
Top Bottom