secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Ok, kazi njema.Sawa,siku njema
Achana na hiyo kuna ile inaitwa jicho la kungu ushawahi kuiona? Yaan utamu wake hadi kisogoniDuh je ukinipa popo kaharia mbinguni?
Kumbe!Achana na hiyo kuna ile inaitwa jicho la kungu ushawahi kuiona? Yaan utamu wake hadi kisogoni
Aisee hiyo hatari,inakunywa maji kumbe?Fimbo ya ukwaju si korofi,ikiwa sehemu safi.
Ni ndogo kama pilitoni,ni kubwa ikitoka usingizini.
Inapo ingia shuhulini,haitaki utani abadani.
Inachachamaa wima wima,jicho Moja linatazama.
Pangoni taratibu inazama,inakunywa maji Kwenye kisima.
Ikilizika kunywa maji ya kisima,basi taratibu inakohoa na kuzizima.
Fimbo ya ukwaju iyoooooπππππππ₯π₯ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈ
Hii naiandika kwenye boda yanguOk, kazi njema.
Usisahau kutunza fimbo yako, ishi na kaulimbiu isemayo 'ubora wa fimbo yako ndo heshima yako'.
Na kuramba uji inaramba juu inategemea na kisima chenyewe usafi wakeπππAisee hiyo hatari,inakunywa maji kumbe?