Utamu wa kachumbari......

Utamu wa kachumbari......

kumbe watafuta waroho wenzio yakhe!!...wanakuja sasa hivi.......

Soma vzuri mimi ndio mroho ila sio kwamba natafuta waroho wenzangu sasa hiyo itakuwa relation au vita moto?
 
Dah! wish ungekua white ningekufkria
Rangi tu hiyo ila vingne kama nasadifu try to think on me basi, maana nina pm mbili ila masharti yake mbona nmeyashndwa jaribu kuokoa jahazi
 
Kwa hiyo kila mikoa uliyotaja ndo utakuwa na mmoja ili kukidhi kiu? Nanihii yako ina turbo charger ama?
Hina, hapo nmemaanisha mmoja tu toka mkoa huo, ila hata wakiwa wawili sio mbaya sana ila lengo ni mmoja nae nipitie nae hatua nilizozitaja halafu sku moja ije iwe imekuwa.
 
Mroho mwenzio nipo hapa, ila bahati mbaya sipo kwenye hiyo mikoa vipi?
 
Mroho mwenzio nipo hapa, ila bahati mbaya sipo kwenye hiyo mikoa vipi?

Mhhh nawe mroho? mbona staki mie mimi mwenyewe natosha uroho tena, heri ambavyo hutokei mikoa pendwa yangu, kwa ufupi nafas hamna kabisa. uroho + uroho =LIJIUKIMWI.
 
Vp bwana braza umebahatisha au story tu? coz naikumbuka skuile umirusha hiii ndoano, tafadhali muwe mnarudisha majibu kama mmefanikiwa, ok best wishes
 
Vp bwana braza umebahatisha nkuwahabarishairudi hapa kuja lazima ta au story tu? coz naikumbuka skuile umirusha hiii ndoano, tafadhal majibu kama mmefanikiwa, ok best wishes

Bado sijabahatisha mkuu, ila nyie madume kidogo mnanikwaza ndio mnanichek sana hapa badala ya kuwaacha dada zenu wanitafute, cjui ndo mnasababisha msongamano? niliahidi siku nkipata nitakuja hapahapa kuwajulisheni.
 
Mhhh nawe mroho? mbona staki mie mimi mwenyewe natosha uroho tena, heri ambavyo hutokei mikoa pendwa yangu, kwa ufupi nafas hamna kabisa. uroho + uroho =LIJIUKIMWI.

dawa ya moto ni moto!!!!!!!!
 
ASANTEN kwa ushirikiano wenu,, binafsi nmefarijika sana, ingawa sijapata wa kuwa nae full, lakini nusu ya lengo langu limfanikiwa,Registered Members: 117,654 wa JF na mamode woooote, thanx alot,
lakini shukran za dhati na za kipekee na kwa nyie mlioni PM,
nipo Huku kenya jamani kwa swwit and mavelous kampan from JF, kiukweli tulienzi sana hili jukwaa kwani ni zaidi ya biere,
mungu awabariki membaz wote wa jf.
mwisho wa kupokea mesej za pm wadau, thanx alot.
If God wishes see you next episode.
 
Wadau hata iweje ni zaidi ya nusu mnaosoma hapa mmewahi kutengeneza kachumbari, ni vigumu sana kuimaliza kuitengeneza bila kuionja zen ukaiweka mezan kuisubirisha msosi, nini namaanisha sasa? mimi ni janaume la shoka jeusi ni mdogo wake madingi lakini braza wake makaka, muda sana nilikuwa kwenye mitikisiko ya kimaisha sasa nawish kuwa na rafiki, awe mpenzi afu baaadae aje kuwa mke wangu, mi sio mnafiki kwenye hizo hatua najua lazima ntaomba kumega tu, kwani pia nna tatizo la uroho sana, na possibly ndio jambo hilo la uroho lilinichelewesha hata kuoa, kwasababu nilikuwa napewa vya kwenye ndoa,sina mahela ila nina mipango ya kuja kuzikamata, wanawake wanaohitajika ni toka mikoa ya morogoro, iringa, dodoma, dar, njombe, na mbeya tu.sio kimakabila bali kiukazi,nina nia ya dhati na toka moyoni.
karibuni sana kigezo cha elimu, ni ya kawaida, dini haimati ilimradi ukubali kuja yangu tukija kukubaliana,ila ambao hawajazalishwa watapewa kipaumbele.

Mnafiki mkubwaaa, JF yote inakujua kuwa umepinda, atakae kukubali wewe ni kapuku. Sokwe wewe
 
Bwana awasamehe dhambi zenu, lakini muda mnaotumia kutenda dhambi humu za kutukanana na kusimangana mtakuja juta.
 
Mnafiki mkubwaaa, JF yote inakujua kuwa umepinda, atakae kukubali wewe ni kapuku. Sokwe wewe

Asante SOMOE wewe ni binadamu, lakin ulikuwa wapi siku zote hizo? mi mpaka jana ndio nafunga tangazo unatokea?

wahusika mamodes mpo wapi? mwanachama wenu mpole na mwaminifu nashambuliwa tena shamulio la aibu huku na mrembo somoe tafadhalin mniokoe, maana huyu dada ana mastaz ya matusi ya nguoni, ee mungu nisaidie nisimjibu huyu maana ntakuwa nazitaja kasoro zake na wewe hukuniagiza hayo.bwana unisaidie
 
Asante SOMOE wewe ni binadamu, lakin ulikuwa wapi siku zote hizo? mi mpaka jana ndio nafunga tangazo unatokea?

wahusika mamodes mpo wapi? mwanachama wenu mpole na mwaminifu nashambuliwa tena shamulio la aibu huku na mrembo somoe tafadhalin mniokoe, maana huyu dada ana mastaz ya matusi ya nguoni, ee mungu nisaidie nisimjibu huyu maana ntakuwa nazitaja kasoro zake na wewe hukuniagiza hayo.bwana unisaidie

Pole, kumbe hauna A wala B Wavisa, Mbaba maboks kwa tena. utaosha vyoo hadi utaingia kaburini.

Huyo mwanamke atakae kukubali wewe atakuwa kapinda.
Juzi kati ulikuwa unatukana wanawake na madamu yanayowatoka kila mwezi, leo unatafuta nini tena? dume ugawe nyuma? hhahahah unalooooo.
 
Asante SOMOE wewe ni binadamu, lakin ulikuwa wapi siku zote hizo? mi mpaka jana ndio nafunga tangazo unatokea?

wahusika mamodes mpo wapi? mwanachama wenu mpole na mwaminifu nashambuliwa tena shamulio la aibu huku na mrembo somoe tafadhalin mniokoe, maana huyu dada ana mastaz ya matusi ya nguoni, ee mungu nisaidie nisimjibu huyu maana ntakuwa nazitaja kasoro zake na wewe hukuniagiza hayo.bwana unisaidie
Somoe acha mitusi wewe mwanake jenga hoja, mbona upo hivyo? mwenzio nna wakwe na mashemeji humu ndani kwaiyo hiyo mitusi yako inanichafulia heshima, ila najuuuta sana kumit na wewe, hakika nikirud nitakulipa deni lako yaishe, ingawaje hiyo kitu wenzako wa mujin huwa hawakopeshi, cash ndio mpango mzima. pole nitakulipa acha jaziba mie wakanipa ban bure.
 
Somoe acha mitusi wewe mwanake jenga hoja, mbona upo hivyo? mwenzio nna wakwe na mashemeji humu ndani kwaiyo hiyo mitusi yako inanichafulia heshima, ila najuuuta sana kumit na wewe, hakika nikirud nitakulipa deni lako yaishe, ingawaje hiyo kitu wenzako wa mujin huwa hawakopeshi, cash ndio mpango mzima. pole nitakulipa acha jaziba mie wakanipa ban bure.[/QUOTE

Ndio hivo wana JF jueni kuwa Wavisa ni muuzaji nyuma wa uholanz.
Masikini weee, kuzaa si kupata. Kaaribika, kabaki domo chafu na sura kama tela la fuso.
Weka picha wakuone basi kama mi nadanganya.
 
Back
Top Bottom