Utamu wa Mahindi ya kuchoma hunoga kipindi ambacho kuna kamvua mvua au baridi

Mkwala

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
1,164
Reaction score
1,243
Wasalaaam,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.Mimi ni miongoni mwa wadau wanaopenda kula Mahindi ya kuchoma.Lakini nimekuwa naona Ulaji wa mahindi hunoga utamu kipindi ambacho kuna kamvua mvua au baridi tofauti na kipindi ambacho jua limewaka.Sasa nimekuwa najiuliza inakuwaje kuwe na utofauti kwenye radha ya Mahindi yaliyochomwa? Natanguliza shukrani zangu.
 
Ndivyo ulivyoiaminisha akili yako mkuu.
 

= ladha

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
kama umepaka limao na pilipili_chumvi lazima yawe na ladha tofauti
 
Hata bangi kipindi cha baridi na mvua inanoga zaidi kuliko kpindi cha jua kali na joto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…