Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
[emoji14] [emoji14] [emoji14] waziiiiiiiiiiiiii afande[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wote wapige makofi kwa maana tukio la kihistoria lililosubiriwa kwa miaka mingi... sasa litafanyika kabla Makonda hajapatwa na miti.
Siku hiyo mvua lazima inyeshe. Itake isitake.
Jiandae Kassie... Nimejiandaa kama FC Barcelona bila Messi.
Wengine washamba kidogo najua unaongelea mwanamke lakini 'mjeda' ndio nini?
Lucky You...nmepata kichapo cha mautundu
nmecheka sana aisee,wazo zuriMimi ugonjwa wangu Traffic wa Kike, hata awe na sura mbaya kiasi gani akiwa kwenye sare zao baasi Sina nguvu kabisa. Nitamuomba Kamanda nanihiii kibali nimshonee Mke wangu sare kama ile ili nisiwaharibu traffic wa watu.
Hapa viwanda ni ndoto tu kwa kweli kama watu wenyewe ndio sisiAisee nilijua mjeda alibadilika gafla
iyo ni sawa na ukuta ukutani,nani anataka msongo wa mawazo,iyo ni take away tuWewe unatafuta kufa na stroke mapema ungali kijana, unajipeleka kwenye frustration ndugu. Kitu chochote kinachoitwa askari, not recommended, labda Kama Ni take away Tu.
Hehehe [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngabu we ni sheeda
Kwani mkiwa na viwanda hamu inaisha?Mmhhh hii ndio Tanzania ya viwanda