Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
Nilikuwa nikipita karibu na ile bank niliyokopa zaidi ya m18 moyo unaanza kimbia na pumzi nayo nzito😂😂😂😂
Mkopo kwa nia ya biashara, kujenga, gari ikatokea tu ghafla paap pesa huioni imekata bila matarajio inaumaa sana. Kimbembe ukiinua salary slip ukitizama basic na take home roho inaumaa zaidi.
Baadhi ya watumishi wanaenda job tu hakuna namna ila mishahara walishachukua siku nyingi 😂😂😂😂😂
Naona mkopo usianze nao biashara bali ongezea mtaji katika biashara, usikurupuke ukaja tesa familia, pata presha au kufilisiwa.
Mimi ni nani nisikope, Serikali yenyewe inakopa. Wajuvi tupeni uzoefu wa mikopo kutoboa nayo.
Mkopo kwa nia ya biashara, kujenga, gari ikatokea tu ghafla paap pesa huioni imekata bila matarajio inaumaa sana. Kimbembe ukiinua salary slip ukitizama basic na take home roho inaumaa zaidi.
Baadhi ya watumishi wanaenda job tu hakuna namna ila mishahara walishachukua siku nyingi 😂😂😂😂😂
Naona mkopo usianze nao biashara bali ongezea mtaji katika biashara, usikurupuke ukaja tesa familia, pata presha au kufilisiwa.
Mimi ni nani nisikope, Serikali yenyewe inakopa. Wajuvi tupeni uzoefu wa mikopo kutoboa nayo.