J jochu Member Joined Feb 4, 2023 Posts 59 Reaction score 105 Apr 7, 2023 #21 mwanyaluke said: mkopo ni deal sana kama unajua unachokifanya , mimi binafsi nilikopa ten mwaka 2021 , imekuwa ni game changer najiona nilifanya hesabu ya maana sana , kwa watumishi ni shida kidogo wanakopa kujenga, kununua gari huo ni ujinga Click to expand... Ww ulitaka afanyie biashara!? Kumbuka si kila mtu anaweza biashara
mwanyaluke said: mkopo ni deal sana kama unajua unachokifanya , mimi binafsi nilikopa ten mwaka 2021 , imekuwa ni game changer najiona nilifanya hesabu ya maana sana , kwa watumishi ni shida kidogo wanakopa kujenga, kununua gari huo ni ujinga Click to expand... Ww ulitaka afanyie biashara!? Kumbuka si kila mtu anaweza biashara
bhakamu JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 813 Reaction score 787 Apr 11, 2023 #22 Kwa vyovyote itakavyo kuwa ntakopa 25 milioni ,ngoja huyo heslb afutike kwenye hati ya mshahara. Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Kwa vyovyote itakavyo kuwa ntakopa 25 milioni ,ngoja huyo heslb afutike kwenye hati ya mshahara. Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app