Utamu wa tikiti ukubwa wake unahusika

Utamu wa tikiti ukubwa wake unahusika

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
18,585
Reaction score
16,780
Ukitaka kupata tikiti lenye ladha nzuri i mean tamu, basi chagua lile lililo kubwa kubwa.Hii kitu ni ukweli mtupu, huwezi kulinganisha ladha ya tikiti dogo (hata kama limekomaa) na tikiti kubwa.Ndiyo ilivyo even to

wanawake wembamba si sawa na wanene. :A S 103::A S 103:
 
Tikiti Kubwa Lina Maji Mengi; Ukichovya Mdomo Unalowana hadi Kwenye Nyele za Kidevuni; Kitiki Lilotamu ni Lenye Umbo Jembamba; Hii ni Sawa na "Nyama" Kwani Ile iliyokaribu na Mfupa ni Tamu kuliko Zote. Makubwa yana Maji mengi na yale Maji hata yanalowanisha mavazi.
 
Tikiti Kubwa Lina Maji Mengi; Ukichovya Mdomo Unalowana hadi Kwenye Nyele za Kidevuni; Kitiki Lilotamu ni Lenye Umbo Jembamba; Hii ni Sawa na "Nyama" Kwani Ile iliyokaribu na Mfupa ni Tamu kuliko Zote. Makubwa yana Maji mengi na yale Maji hata yanalowanisha mavazi.

Hapana hapa na pingana na wewe, inawezekana wewe ulichagua tikiti lililoharibika mkuu.
walah matikiti madogo ndiyo yenye maji mengi.
 
hapana hapa na pingana na wewe, inawezekana wewe ulichagua tikiti lililoharibika mkuu..
walah matikiti madogo ndiyo yenye maji mengi...

Hauko Sahihi Rudia Zoezi hilo, Yanapatikana Mengi Maeneo ya Mbagala na bei ni Nafuu zaidi Kuliko sehemu nyingine kwa Dar; Unaweza kuanza na dogo Maana utalimaliza , Usije kuanza na Kubwa kwa sababu Hautalimaliza Litakukifu Naamini waweza hata Kulitupilia mbali.
 
Hauko Sahihi Rudia Zoezi hilo, Yanapatikana Mengi Maeneo ya Mbagala na bei ni Nafuu zaidi Kuliko sehemu nyingine kwa Dar; Unaweza kuanza na dogo Maana utalimaliza , Usije kuanza na Kubwa kwa sababu Hautalimaliza Litakukifu Naamini waweza hata Kulitupilia mbali.

Sawa, lakini kulila kistaarabu litaisha tu.
Kumbuka unaweza kulila asubuhi, mchana na usiku lazma liishe hata liwe kubwa kama mpira wa basket.
 
Kila tikiti lina ladha yake halijalishi ni kubwa au dogo,unaweza kuchukua dogo hata hamu isiishe,me hupenda tikiti lililoshiba hasa neema za allah.
 
Back
Top Bottom