Utamu wa umaskini

Utamu wa umaskini

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Mkikosa chakula, mnajipoza na *******
Mkikosa pesa, mnarudi kitandani kutafuta maono
Ukitoka kitandani, furaha hujaa
Heri maskini mwenye mke/mume kuliko tajiri single
 
Mkikosa chakula, mnajipoza na *******
Mkikosa pesa, mnarudi kitandani kutafuta maono
Ukitoka kitandani, furaha hujaa
Heri maskini mwenye mke/mume kuliko tajiri single

Kweli wewe ndio tabutupu,....
 
duh heri maskini wa roho kuliko tajiri wa ......
 
mama anahangaika kwenye moshi

baba anahangaika kwenye jua

mwisho wa siku wanaburudika kwa kitanda
 
maskini wanapendana jamani, nikienda uswahilini kabisa huko utakuta mtu na mumewe wamekaa saa mbili kwenye mkeka wanakula ugali wao tena upo kwenye sufuria na mboga moja kweny sufuria, wanacheka kama nini, ukiwa tajiri utampata wapi wa kula nae mezani, kila mtu anaingia home mda wake
 
masikini halali mchana..
masikini hakosi ndoto...
masikini hanuni...
masikini hachagui ndugu..
masikini haibiwi...
masikini hafilisiki.....lol

Kaa Ukijua......masikini hafilisiki.
 
masikini halali mchana..
masikini hakosi ndoto...
masikini hanuni...
masikini hachagui ndugu..
masikini haibiwi...
masikini hafilisiki.....lol
.....shida ya maskini,hana haki
 
Mkikosa chakula, mnajipoza na *******
Mkikosa pesa, mnarudi kitandani kutafuta maono
Ukitoka kitandani, furaha hujaa
Heri maskini mwenye mke/mume kuliko tajiri single

hoja bado hujaijenga......................yote yanayomsibu masikini uliyoyataja hata tajiri yako ndani ya uwezo wake..........tafuta hoja kwanza........
 
maskini anafaidi ndoa kuliko tajiri, maana kitu pekee kizuri kilicho karibu yake ni *****
 
Back
Top Bottom