Utanashati wa mwanaume ni nini..?

Na siachwi ng'o amependa mnara wa Vodacom amesema hawezi kuuacha lol

MHHHHH basi kuna mtu ana madolari anakushikia pembeni.....siunajua hata achumaye anahitaji wa kula nae....!
 
Wewe size yako huijui???
Siku zingine nikipima nakuta size 25 siku zingine nakuta size 19 yaani sio stable size inakuwa ikibadilika kwa mfano nikila nikienda kupima nakuta hadi size 26 nikiwa sijala nakuta hata size 18
 
Kaka' umepata jibu la swali lako?

Utanashati wa mwanamume ni

(a) Pochi ya ngozi ilijaa dolari (by Lizzy)
(b) Uume wake (by Rev..)
(c) Size ya kichwa (by Dena Amsi)

Mengine blah blah blahs!
 
Siku zingine nikipima nakuta size 25 siku zingine nakuta size 19 yaani sio stable size inakuwa ikibadilika kwa mfano nikila nikienda kupima nakuta hadi size 26 nikiwa sijala nakuta hata size 18

Ha ha ha ha u made my day
 
Kuna mdada niliwahi kusikia anasema "Dah yule mkaka kichwa chake cha pili kikubwa kweli kama fenesi" sasa sijui cha pili kipi
 
Kuna mdada niliwahi kusikia anasema "Dah yule mkaka kichwa chake cha pili kikubwa kweli kama fenesi" sasa sijui cha pili kipi

Hiyo size yako inayobadilika badilika ni ipi??? Na ulijuaje?? unajifanya kichwa ka fenesi wewe acha uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…