Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Huku kwetu Buzza mpaka Kwamtogole ukiwa na smartphone unajiunga na Instagram unatangaza uwezo wako wa kitu chochote unachoweza kufanya. Shughuli isiyohitaji mtaji mkubwa ni kufanya kazi za ndani. Kufua, kupiga pasi, kusafisha vyombo, usafi wa nyumba, kupika nk.
Si watu wengi wanahitaji wafanya kazi wa ndani wa kuishi nao. Hasa wanaume ma bachelor. Unakuta anaingia Instagram akiona mtu anajitangaza kufua, anawasiliana naye na kufanya biashara.
Hii Sekta inakwamua watu kimaisha, uwezekano wa kupata chakula na nauli za watoto kwenda shule upo. Matajiri wengine wanatoa na chai kabla hujaanza kazi na cha mchana pia. Baada ya kazi unapata elfu 20-30 kutokana na ukubwa wa kazi.
Utandawazi umeleta mapinduzi katika Sekta hii ya ajira.
Si watu wengi wanahitaji wafanya kazi wa ndani wa kuishi nao. Hasa wanaume ma bachelor. Unakuta anaingia Instagram akiona mtu anajitangaza kufua, anawasiliana naye na kufanya biashara.
Hii Sekta inakwamua watu kimaisha, uwezekano wa kupata chakula na nauli za watoto kwenda shule upo. Matajiri wengine wanatoa na chai kabla hujaanza kazi na cha mchana pia. Baada ya kazi unapata elfu 20-30 kutokana na ukubwa wa kazi.
Utandawazi umeleta mapinduzi katika Sekta hii ya ajira.