pambe samanini
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 368
- 169
Mkuu una dalili zote cha muhimu nenda ukaonane na daktari ukimpa hayo Maelezo atapendekeza upimwe niniNaomba kufahamu ugongwa huu unaitwaje maana ni muda sasa nimesumbuka nao bila majibu au tiba yake. Mwaka 2005 kulitoke ghafla mabaka meusi sana usoni pia pakatokea utando mweupe kwenye ulimi suala ambalo lilipekea kuhisi kichefuchefu na kutema mate mara kwa Mara au kila wakati na hivyo kupata shida sana kujumuika na watu wengine kwenye masuala ya kijamii. Hata hivyo ikumbukwe kuwa hadi sasa bado tarizo ngozi, utando, pamoja na kichefuchefu wakati mimi ni mwanaume wa takribani 30s miaka.
Tafadhari wajuzi na weledi wa tiba za binadamu
Kaka nalikuwa naambiwa fungus na tiba nikapewa ila bila mafanikio. Niseme tu sina HIV/AIDS kama wengine wanavyonidhihakiUliwahi kupima na ukaambiwa una tatizo gani?
Pole sana.Kaka nalikuwa naambiwa fungus na tiba nikapewa ila bila mafanikio. Niseme tu sina HIV/AIDS kama wengine wanavyonidhihaki
Yes, kinywa hakinuki kabisaKaanze dozi mkuu ushapata ukimwi ...
Usipoteze pesa zako
Pole sana aisee, ungeeleza kama umeenda hospital na mlifkia wap kweny matbabu?Naomba kufahamu ugongwa huu unaitwaje maana ni muda sasa nimesumbuka nao bila majibu au tiba yake. Mwaka 2005 kulitoke ghafla mabaka meusi sana usoni pia pakatokea utando mweupe kwenye ulimi suala ambalo lilipekea kuhisi kichefuchefu na kutema mate mara kwa Mara au kila wakati na hivyo kupata shida sana kujumuika na watu wengine kwenye masuala ya kijamii. Hata hivyo ikumbukwe kuwa hadi sasa bado tarizo ngozi, utando, pamoja na kichefuchefu wakati mimi ni mwanaume wa takribani 30s miaka.
Tafadhari wajuzi na weledi wa tiba za binadamu
Da'vinci jamani...Ukimwi huo usisumbuke kaanze dozi
Nalipiza mkuu nilifanyiwa hvo mwaka 2016 sitakaa nisahau ..Da'vinci jamani...
Dawa yake pia ni pamoja na kupiga mswaki kwa kutumia mswaki wa mtiNaomba kufahamu ugongwa huu unaitwaje maana ni muda sasa nimesumbuka nao bila majibu au tiba yake. Mwaka 2005 kulitoke ghafla mabaka meusi sana usoni pia pakatokea utando mweupe kwenye ulimi suala ambalo lilipekea kuhisi kichefuchefu na kutema mate mara kwa Mara au kila wakati na hivyo kupata shida sana kujumuika na watu wengine kwenye masuala ya kijamii. Hata hivyo ikumbukwe kuwa hadi sasa bado tarizo ngozi, utando, pamoja na kichefuchefu wakati mimi ni mwanaume wa takribani 30s miaka.
Tafadhari wajuzi na weledi wa tiba za binadamu
Anza kutumia pia Mswaki wa kienyejia yaani wa mti.Kaka nalikuwa naambiwa fungus na tiba nikapewa ila bila mafanikio. Niseme tu sina HIV/AIDS kama wengine wanavyonidhihaki
Naomba kufahamu ugongwa huu unaitwaje maana ni muda sasa nimesumbuka nao bila majibu au tiba yake. Mwaka 2005 kulitoke ghafla mabaka meusi sana usoni pia pakatokea utando mweupe kwenye ulimi suala ambalo lilipekea kuhisi kichefuchefu na kutema mate mara kwa Mara au kila wakati na hivyo kupata shida sana kujumuika na watu wengine kwenye masuala ya kijamii. Hata hivyo ikumbukwe kuwa hadi sasa bado tarizo ngozi, utando, pamoja na kichefuchefu wakati mimi ni mwanaume wa takribani 30s miaka.
Tafadhari wajuzi na weledi wa tiba za binadamu