niliwahi kusoma mahali kuwa mipapai isikae karibu na nyanya kuna hao wadudu. Mie nafikiri tembelea maduka ya dawa kuna dawa ya kupiga kwenye majani. Pia nasikia ukitwanga mbegu za muarobaini, aloe vera na kuloweka kwenye dumu wiki ukinyunyizia wadudu hufa sijajaribu ila ni njia organic kama hutaki kemikali