leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,766
- 1,708
Utando huu huenea sehemu zote za shina na hata majani na hivyo kusababisha mmea kudhoofika na hata kufa. Nimejaribu kutumia mbalimbali za mimea bila mafanikio kwa vile dawa zote hizo zinzteleza juu ya utando huu ambao ni vipepeo wadogo sana weupe.
Wana JF nimekuja kwenu na kwa wadau ili kupata wale wenye uzoefu katika kilimo waweze kunishauri ni dawa(pesticide) gani inafaa kukabiliana na waxudu hawa waharibifu wa mazao.
Wana JF nimekuja kwenu na kwa wadau ili kupata wale wenye uzoefu katika kilimo waweze kunishauri ni dawa(pesticide) gani inafaa kukabiliana na waxudu hawa waharibifu wa mazao.
