And it really sex to me nikiona demu anasukuma suvs. Ila naboreka mwanaume akiendesha ki vitz tena ananing'niza funguo kiunoni.Wapo wanawake wengi tu wana Push hizo SUVs
Jide mwenyewe alikua na Evoque
Ni service gani unayoongelea hapa??..ni hii ya engine oil or??..punguzeni uongo na kitu kma hujui au hujawai kutumia uliza kwnza ndo uongeeHiyo gari hata akilipwa mshahara wa 3m hawezi kuimudu.....disc 3 ni ghali ambayo spea zake ziko juu....service tu inakula 300000
Engine oil plus diesel filter yakeNi service gani unayoongelea hapa??..ni hii ya engine oil or??..punguzeni uongo na kitu kma hujui au hujawai kutumia uliza kwnza ndo uongee
Nenda pale food lovers mida ya jioni jioni ukae pale nje utawaona hadi mabeki tatu wakija nazoDiscovery series zimekaa ki gentle. Zaidi tofauti na range rover hadi vitoto vya kike vinaendesha. Since nimezijua disc sijawahi kuona demu Oki endesha. Ni wanaume tu nashuudia
Yani engine oil na oil filter ndo 300.000?...dahh haya bna hta noble motors hawana hii beiEngine oil plus diesel filter yake
Nenda pale food lovers mida ya jioni jioni ukae pale nje utawaona hadi mabeki tatu wakija nazo
Watu wengine mnaboa sana, wewe huna hata guta unang'ang'ana eti kuna gari za kike na kiume. Shame on youMkuu. Inatosha... Hayo mambo ya dogo sijui dogolas umeyatolea wapi mkuu. Kuhusu kutafuta pesa. Asante kwa kunikumbusha ila hapa nilipo natafuta pesa...... Kuhusu uwepo magari ya kike na kiume iyo kitu ipo. Haina ubishi.... Mkuu unaweza kuendesha gari ya pink?
Bosi gari ya kike na ya kiume ipo wapi? Hiyo ni mindset yako mzee. Gari ya pink.. eish. Kwamba gari ya pink ni gari ya kike! Kwa hiyo watengenezaji wa magari kutengeneza gari zenye rangi tofauti huwa wanatarget za kike na za kiume?? BadirikaMkuu. Inatosha... Hayo mambo ya dogo sijui dogolas umeyatolea wapi mkuu. Kuhusu kutafuta pesa. Asante kwa kunikumbusha ila hapa nilipo natafuta pesa...... Kuhusu uwepo magari ya kike na kiume iyo kitu ipo. Haina ubishi.... Mkuu unaweza kuendesha gari ya pink?
Mi naendesha,ni hatujakutana tu[emoji4]Discovery series zimekaa ki gentle. Zaidi tofauti na range rover hadi vitoto vya kike vinaendesha. Since nimezijua disc sijawahi kuona demu Oki endesha. Ni wanaume tu nashuudia
Hata iweje siwezi kuacha msimamo wangu. Acha kutoka povu.... Braza una miliki ki vitz nini? Kaaa hapo hapo. This year haaiishi navuta station wagon ya kibabe. Wewe toka povu..... Tu. You don't know me.Watu wengine mnaboa sana, wewe huna hata guta unang'ang'ana eti kuna gari za kike na kiume. Shame on you
Kajifunze kuandika. Badirika ni nini mkuu?Bosi gari ya kike na ya kiume ipo wapi? Hiyo ni mindset yako mzee. Gari ya pink.. eish. Kwamba gari ya pink ni gari ya kike! Kwa hiyo watengenezaji wa magari kutengeneza gari zenye rangi tofauti huwa wanatarget za kike na za kiume?? Badirika
Ajasemea rangi laknMkuu. Inatosha... Hayo mambo ya dogo sijui dogolas umeyatolea wapi mkuu. Kuhusu kutafuta pesa. Asante kwa kunikumbusha ila hapa nilipo natafuta pesa...... Kuhusu uwepo magari ya kike na kiume iyo kitu ipo. Haina ubishi.... Mkuu unaweza kuendesha gari ya pink?
Shit, una disc gani? Seems you are one of kind. I really wish to see you. Driving DISCOVERYMi naendesha,ni hatujakutana tu[emoji4]
Hata kama. Mimi nikona mwanaume anaendesha ki passo cha rangi ya pink. Namshusha vyeo pale pale. Kuna watu wanaelewa mantiki yangu. Japo walo nazo wanatoka povu kwa kuwa against me kwa hoja nyepesi.Ajasemea rangi lakn
Of course am one th kind [emoji4] ,nasukuma namba 4 mzee ntakutafuta nikupe walau lift[emoji1]Shit, una disc gani? Seems you are one of kind. I really wish to see you. Driving DISCOVERY
Haha shit. Your hot. MaaaOf course am one th kind [emoji4] ,nasukuma namba 4 mzee ntakutafuta nikupe walau lift[emoji1]