Utani: Alikiba aimbe na kucheza mpira ila kuogelea hapana

MumbaZ

Senior Member
Joined
Jan 28, 2018
Posts
133
Reaction score
124
Msanii alikiba msanii mkali wa muzik Tanzania anayeshindanishwa na diamond platinum ambaye kwa sasa inasemekana amesajiliwa na timu ya ligi kuu ya Tanzania kwa kuwa anakipaji cha mpira pia.
Utaalamu wake wote kuogelea kwake ni tabu!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…