Utani connection

*Wanafunzi walipanda kwenye ndege ,muda mfupi kabla ya kuruka wakatangaziwa kuwa ndege hii ni ya kwanza kutengenezwa na mainjinia wa Tanzania na hii ndio safari yake ya kwanza, wanafunzi wote wakashuka akabaki mmoja tu , alipoulizwa kwanini hakushuka " Akajibu kama imeundwa na wa Tanzania wala sina wasi wasi hata kuwaka haitawaka hii*[emoji23]
Sependagi ujinga eti[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Leo nilienda kuazima chaji kwa jirani ..sikumkuta ..nilimkuta mwanae
Nikamtumia meseji ili atoe ruhusa nichukue
Akanijibu *21002*
Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu mpya.
Akaniambia nimesema TUMIA TU

[emoji23][emoji23]mtatuua na lugha zenu[emoji12]
 
Mtoto wa kike alimwambia mama yake: Mama wahuni wa pale wana roho mbaya, nimewaambia waniangulie maembe wakaniambia nipande mwenyewe. Mama akajibu: wale walikua wanataka kukuchungulia tu chupi yako. Mtoto akajibu: aah unafikiri sina akili ! Nimeivua chupi kwanza kisha ndo nikapanda!
 
[emoji3] [emoji3] [emoji115]
 
[emoji3] [emoji3]
 
Hahaha
 
Jamaa mmoja kaumwa na nyoka akaanza kucheka adi machozi yakamtoka wakamuhuliza unacheka nini wakai umeumia Jamaa akajibu ninamsikitikia nyoka Mimi Nina ukimwi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
Leo nimeenda kununua energy drink nikamwambia muuzaji naomba energy drink nayeye akaniuliza energy kama energy mimi kwa hasira nikamjibu energy kama nguvu [emoji23][emoji23][emoji23] huwa sipendi ujinga nikiwa na hasira my love
 
*MWALIMU:* Alex, simba akianza kukufukuza utafanya nini?

*ALEX:* nitapanda mti.

*MWALIMU:* je na simba nae akipanda mti?

*ALEX:* nitakimbilia mtoni niogelee.

*MWALIMU:* Je simba nae akikufuata mtoni?

*ALEX:* mwalimu uko upande wangu au wa simba? Maana sikuelewi kabisa,kila ninavyo jaribu kumkwepa simba kila kona wewe wamuelekeza niliko, Kama hunipendi useme tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji38]
 
[emoji441]tangazo[emoji441]tangazo[emoji441]tangazo kunakijamaa kinauza itel galaxy s7 edge mufate inbox muyajenge
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
tsha saana
 
Hatari sana...
 
Kweli wewe ni bonge la "Mathematician"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…