Utani connection

Hahaaa sitoki leo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duuuh hili sio tatizo ..ni bomu kabisaa...
 
 
Ulizuka ugomvi mkubwa hospitali ya m/nyamala ile wodi ya watu wenye majeraha baada ya mgonjwa mmoja kung'ang'ania kagongwa na Prado wakati wenzake wanang'ang'ania kagongwa na Trekta
 
[emoji102] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ulizuka ugomvi mkubwa hospitali ya m/nyamala ile wodi ya watu wenye majeraha baada ya mgonjwa mmoja kung'ang'ania kagongwa na Prado wakati wenzake wanang'ang'ania kagongwa na Trekta
[emoji42] [emoji2] [emoji2]
 
Mateja walikua wanataka kuvuta bangi lakini wakakosa kibiriti, mmoja wao akaenda kutafuta, kazunguka wee mwisho karudi palepale, alivyofika akawauliza: Masela naombeni kibiriti

Wengine: subiri kuna mwana kaenda kutafuta, atarudi nacho sasa hvi
 
Mateja walikua wanataka kuvuta bangi lakini wakakosa kibiriti, mmoja wao akaenda kutafuta, kazunguka wee mwisho karudi palepale, alivyofika akawauliza: Masela naombeni kibiriti

Wengine: subiri kuna mwana kaenda kutafuta, atarudi nacho sasa hvi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
*NYONYO LAMPOTEZA MWANAUME"....*
_Katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto. Akakataa kunyonya._
_Mama akamwambia_ _mwanae: Nyonya, kama hutaki nampa "anko" anyonye._
*Anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo mama.*
_Mtoto akanyonya kidogo kisha akaacha._
_Mama akamtishia tena "Nampa anko". Ikaendelea mara kadhaa._
*Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema: "Mama uwe na msimamo. Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako. Hebu kuwa mkweli...! Unanipa ninyonye au nishuke?"*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
*WASICHANA BHANA WANAPIGANA MAJUNGU HAO*
_walianza wafupi, wakafuata wanene_
saiz utasikia *wasichana wembamba wakivaa magauni mekundu cku ya valentine wanafanana kama pilipili mbuzi*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji571][emoji571][emoji571][emoji571][emoji571][emoji571][emoji571][emoji571][emoji571]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji23] [emoji12] [emoji23]
 
Mke na Mume waligombana, mume akalala kitandani na Mke akalala chini, Mume akawa anatikisa UUME akisema "TULIA Jembe langu HUONI TUMEGOMBANA?"
Mke akasema "TULIGOMBANA SISI, SIO WAO, Mlete acheze na mwenzake ila ugomvi wetu uko pale pale"
Eti kweli hapo ugomvi utaendelea?
 
*Dah!!! vitoto vingine vinaumbua sana*[emoji15]

Tulikua kwenye daladala, mtoto mmoja akamuuliza mama yake, *mama tunaenda wapi na hatujaoga*?[emoji38][emoji38][emoji38]

Dereva imembidi asimamishe gari tucheke kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…