nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe ukinya mavi juu ya meza ya chakula tukuache kwa kuwa wewe ni baba?Huku ni kukosa adabu.
Kwani shida ya huyu tulie nae in ubabe au empty head?Mimi namtoa BWM kwa kuwa tuko hapa kwa matokeo ya wana Mtandao wale wa u-Rais wa 2005. Halafu JAKAYA alipofika madarakani yeye na mshirika wake LOWASA walianza kwa kumchafua BWM. Wakamtengenezea kashfa ya Mgodi wa Kiwira through TANPOWER. wakasema mpaka akadharaulika mbele ya jamii.
Isitoshe, Jakaya Mrisho Kikwete ameshindwa kabisa kuacha LEGACY kwa kuwa
1.Ni yeye peke yake aliyelazimisha kubadili Katiba ya CCM kwa kuwatoa Viongozi na Marais Wastaafu kwenye Central Committtee ili apate nguvu nyingi binafsi
2 Alishindwa kutuachia Katiba mpya pamoja na kutumia Mabilioni ya fedha za walipa Kodi
3.Jakaya ndiye alikuwa Mwenyekiti wa Kamati Kuu iliyomingiza Magufuli kuwamo kwenye 5 Bora
4. UDHAIFU wake ndiyo uliopelekea CCM kutaka mtu mbabe!
5. Aliendekeza BIFU lake binafsi na LOWASSA
My take: We are here BECAUSE of JAKAYA KIKWETE and don't include BWM
Akose adabu kwenye kitu kilicho na virusi mkuuHuku ni kukosa adabu.
Yes ameuza in good image or bad?Mafufuli ameuza sana jina la nchi.
Big up kwa spin doctors wote
Duuuu hawa mabeberu wameyajuwaje haya yanayo tokea Tanzania? Bila shaka ni wana cdm hawa siyo bureeeee
Iyo video imewekwa voice na muhindi koko wa apa TANZANIA
Dunia kwa sasa ni kijiji au kitongoji kabisaHIVI KUMBE HADI WATU WA NJE WANAIJUA HII ISHU??! HII KALI
Ameyataka mwenyewe.
Hii kitu imeenda Viral hadi mataga wanatafutanaHIVI KUMBE HADI WATU WA NJE WANAIJUA HII ISHU??! HII KALI
Mimi namtoa BWM kwa kuwa tuko hapa kwa matokeo ya wana Mtandao wale wa u-Rais wa 2005. Halafu JAKAYA alipofika madarakani yeye na mshirika wake LOWASA walianza kwa kumchafua BWM. Wakamtengenezea kashfa ya Mgodi wa Kiwira through TANPOWER. wakasema mpaka akadharaulika mbele ya jamii.
Isitoshe, Jakaya Mrisho Kikwete ameshindwa kabisa kuacha LEGACY kwa kuwa
1.Ni yeye peke yake aliyelazimisha kubadili Katiba ya CCM kwa kuwatoa Viongozi na Marais Wastaafu kwenye Central Committtee ili apate nguvu nyingi binafsi
2 Alishindwa kutuachia Katiba mpya pamoja na kutumia Mabilioni ya fedha za walipa Kodi
3.Jakaya ndiye alikuwa Mwenyekiti wa Kamati Kuu iliyomingiza Magufuli kuwamo kwenye 5 Bora
4. UDHAIFU wake ndiyo uliopelekea CCM kutaka mtu mbabe!
5. Aliendekeza BIFU lake binafsi na LOWASSA
My take: We are here BECAUSE of JAKAYA KIKWETE and don't include BWM
HIVI KUMBE HADI WATU WA NJE WANAIJUA HII ISHU??! HII KALI
Kweli Mkuu, hawa wapo hapahapa bongo, Ndio maana huyo kanji akasema Didn't you hear the President? (Hukumsikia Raisi?).Hawa ni maponjoro ya bongo,yatasakwa popote pale yalipo,yatafilisiwa na yatajuta
@khantwe angekuwa na nywele ndefu kama huyo mbona tungekoma [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Khantwe ana nywele ndefu siku hizi ?
Kweli Mkuu, hawa wapo hapahapa bongo, Ndio maana huyo kanji akasema Didn't you hear the President? (Hukumsikia Raisi?).
Wangekua nje asingesema hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Both