japhet nkwabi Member Joined Mar 8, 2013 Posts 91 Reaction score 15 May 31, 2013 #1 mi nadhani kama huna chakuandika unaacha au uanenda kwenye jukwaa la jokes,fikria mtu anaandika eti anataka mume wa miaka 70 KWELI?? mi mwenyewe sijapata baby mpaka leo kwa ajili ya utani badilikeni jamani
mi nadhani kama huna chakuandika unaacha au uanenda kwenye jukwaa la jokes,fikria mtu anaandika eti anataka mume wa miaka 70 KWELI?? mi mwenyewe sijapata baby mpaka leo kwa ajili ya utani badilikeni jamani
Smile JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 15,347 Reaction score 11,619 May 31, 2013 #2 wewe msukuma?
saudari JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 2,655 Reaction score 2,783 May 31, 2013 #3 japhet nkwabi kumbe toka siku ile ulikua unatafuta mke halafu haukupata? Chakarika kaka utapata tu maana huku jamvini vimwana wamejaa tele.
japhet nkwabi kumbe toka siku ile ulikua unatafuta mke halafu haukupata? Chakarika kaka utapata tu maana huku jamvini vimwana wamejaa tele.