Utani na Msichana ninaye fanya naye kazi unataka kunivunjia ndoa yangu

mmmh! Kuamini hii inabidi bibie awe na kichwa cha panzi.
hata kama asipoamini lakini kunakuwa na doubt na kukiwa na doubt jamaa asingekuwa amelala hotelini leo..., unajua kwenye mapenzi watu huwa hatufikiri kwa kichwa bali kwa moyo so hata kama ni uongo mtu atapenda aamini sababu ukweli utamuumiza kuliko ukweli...

So sometimes wenza huwa wanaomba Mungu hata asikie uongo ili ajifariji kuliko kukaa kimya unaconfirm so angefanya kama nilivyosema sasa hivi angekuwa anakula raha na mrs
 
Pole sana mkuu,utani kama huu haufai hata kidogo.Kwa nini umemzoeza mke wako kusoma MESSAGE zako?

ehh yaan kosa apo umeliona la kumwachia mke wake kusoma msg zake?
wanaume wanaojiamini na wasio na mawaa HAWANA SABABU ZA KUFICHA FICHA SIMU ZAO
 
ehh yaan kosa apo umeliona la kumwachia mke wake kusoma msg zake?
wanaume wanaojiamini na wasio na mawaa HAWANA SABABU ZA KUFICHA FICHA SIMU ZAO


mpendwa siri zipo tu hata kwa mke/mume,
mbona mimi message zangu huwa sikuachii usome?(joke)

Afterall, simu ni issue binafsi....................very very personal lol.....
 
Halafu wewe Mangi wewe ..kama wewe hauko serious na mahusiano na huyo dada unaweza kuta huyo mwenzio yuko serious na anamaanisha kile anachokiandika na wewe unashindwa kusoma nyakati
Ni mtu gani anajua una mke ,saa nne lazima mtakuwa room ama popote na wife wako yeye anakurupuka anatuma msg za ajabu ajabu ..na wewe hujampa mipaka ya urafiki wenu
Umeniuzi sana i see ..
 
wanaume dizaini hii mnaboa sana...sasa umefaidika nin?? jifunze kuweka mipaka ya urafiki.
 
Unajua sometimes ukweli unaonekana ni uongo kuliko ukweli.., kwahiyo hapo mtu inabidi ufanye kila kitu ili kuokoa ndoa, na hapo akili inabidi ifanye kazi..., kwahiyo angeanza kwa kucheka sana angekuwa anacheka huku akili inafanya kazi
Inaonekana Mangi si mzoefu kusema uongo, ndo mana yakamkuta hayo.
 
Acha utani na huyo dada hafai! Inaonesha anatamani iwe zaidi ya utani; haoeneshi hata kuumia kwa yaliyokupata! Wote tunataniana ofisini, but u don't call or text ur friend akiwa home kwa utani only mambo ya kazi tu!

Pole sana, kama dhamira yako ni clean basi mkeo atakuamini ila nami nina mashaka kidgo na real uhusiano na huyo dada!
 
huyo mdada anakutaka,sasa amua..pia kukimbia tatzo ni tatzo lingine tena naona umnafuta huyo mkeo na utampata pindi atakapokuwashia moto! nenda mface bembeleza 'chini ya miguu yako' ziwe nying sana..
 

huyo dada nipatie namba yake aisee
matani ya hivyo mi ndo ugonjwa wangu lol
 
Reactions: BAK
Umepigwa vibao na mke wako? Tena hujui uelekee wapi ukitoka ofisini? Aisee sipati picha hapo.Alikutolea Mahari nini? Hata kama umekosa kuna jinsi ya yeye kukuface kama mume wake
 
huyo dada nipatie namba yake aisee
matani ya hivyo mi ndo ugonjwa wangu lol

hahahahahaha lol! Huu ugonjwa mbaya sana huu Mkuu 🙂 Nenda haraka kwa babu kule Loliondo ili akakuponye na maji ya uzima. Unaweza kuwa sehemu sehemu ambazo lugha kama hizi hazikubaliki ghafla tu ugonjwa ukakutokea na wewe kujisahau kama una ugonjwa huu mbaya sana itakuwa kazi kubwa hahahahah lol!
 
-we kaka samahani sana ila nikuite ni mpumbavu sana,tena sana.inaelekea hujui thamani ya ndoa yako hata kidogo! Embu jiweke ktk nafasi ya mkeo ww ungefanyaje? Unajua unaweza kumuua mkeo hivihivi pasipo kumtwanga kisu kiuhalisia?

-mimi nakulaumu kwa kutoweka mpaka ya urafiki na huyo officemet wako,huko ni kukosa akili.utani gani huo mpaka mtu anakutumia msg kama hiyo saa 4 usiku(98pec huyo binti ana siri nzito ambayo hujaigundua,kwa kifupi anakutaka)

-mie siko kwenye ndoa ila ningekushauri kama ifuatavyo:
Embu jiweke kwenye nafasi ambayo mkeo anayo sasa hivi kuhusu hili swala,afu jiulize ungekuwa wewe ndio mwanamke,ungetaka kuelezwa/kuambiwa nini kuhusu hili swala ili uridhike afu utapata cha kumalizana na huyo mkeo.
 
Pole, rudi kwa mkeo na kamweleze hali halisi na kwanini mnafanya utani wa kijinga namna hiyo? Au unamtaka mzee unatafuta pa kutokea? Hakuna kitakachoharibika endepo leo utarudi kwako na jua ya kwamba mwanaume unatakiwa uwe jasiri na msimamo katika maamuzi nini unagwaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…