Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi kumtania mlemavu kwa ulemavu wake,
Huo sio utani.
Utani ni kuongea Jambo ambalo inakwepesha ukweli kiasi.
Huwezi kumwita ,
-mtu mrefu ngongoti,
-Au mfupi andunje.
Unatafuta vita
Utani wenye ukweli ndani lazima ngumi ziruke, Sasa imagine wewe Heriet ulipata ajali sasa ajali imesababisha upoteze uanaume wako alafu anatokea mtani wako anasema "Vp, kwahio mwanangu we Madem ndo basi Tena huku anacheka"
Kaka umeongea point sana
Shemeji yako anautani yule mbwa hadi sio pow
Yan hua ananiudhi sana
Wakati mwingine mambo n seriously
Actually huo sio utani wala ugomvi bali hizo ni “kejeli” ama “masimango” kwa lugha nyepesi.Mara nyingi utani unapaswa uwe ni tofauti Sana na uhalisia.
Huo ndy utani.
Lakini utani unakuwa ni ukweli na uhalisia huo sio utani.
Huo ni ugomvi.
Mfano mtu ana bichwa kubwa,,
-umtanie bichwa kama Lori la mkaa,,
huo ni utani kwl?
-Mtu mfupi umuite emoro ,
Huu ni ugomvi.
Mwanaume hana kazi wakati mkewe ndy anatimiza majukumu yote ya nyumbani,Kula ,kulipa ada za watoto shule nk,, uje umwite bushoke ,,
Huu ni utani kwl?
Huu ni ugomvi sio utani.
Hahahahahah utani wowote wenye asili ya kejeli lazma upelekee kichapo!Utani wenye ukweli ndani lazima ngumi ziruke, Sasa imagine wewe Heriet ulipata ajali sasa ajali imesababisha upoteze uanaume wako alafu anatokea mtani wako anasema "Vp, kwahio mwanangu we Madem ndo basi Tena huku anacheka"
Huo utani umelenga kuumiza hisia za mtu!Kwani ufupi au mweusi Kama mkaa ni udhaifu??
Au kuwa na kibamia ni udhaifu
Huo utani umelenga kuumiza hisia za mtu!
Hio ni kejeli na kimsingi mtu hana control na urefu au ufupi. Hicho ndio kitafanya upasuke tu hamna namna ingine
Jirani yangu alikuwa msela tu hajaoa....akamleta mdogo wake wa kike kuja kumsomesha huku mjini...Sasa tukiwa kazini site, kuna boya lilikuwa na mazoea ya utani sana na jirani yangu....akaropoka "wewe hanithi wewe..mtoto umemleta pale kwako hata kugonga hugongi kubabako....utachapiwa..kama haisimami sema masela tukusaidie"...kilichofuata hapo hakisimuliki.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Utani unakuwa neutral endapo hauumizi hisia za mtu. Mfano kwa sie vijana wa kitaa tumezoea kuitana majina ya utani utaskia “oya kichaa angu inakuaje” kimsingi mie sio kichaa so hainiumizi kihisia ila najua ni masihara tu ya ujana...huwezi kumtania mlemavu kwa ulemavu wake,
Huo sio utani.
Utani ni kuongea Jambo ambalo inakwepesha ukweli kiasi.
Huwezi kumwita ,
-mtu mrefu ngongoti,
-Au mfupi andunje.
Unatafuta vita
Unamuita mwanaume hanithi😅???Jirani yangu alikuwa msela tu hajaoa....akamleta mdogo wake wa kike kuja kumsomesha huku mjini...Sasa tukiwa kazini site, kuna boya lilikuwa na mazoea ya utani sana na jirani yangu....akaropoka "wewe hanithi wewe..mtoto umemleta pale kwako hata kugonga hugongi kubabako....utachapiwa..kama haisimami sema masela tukusaidie"...kilichofuata hapo hakisimuliki.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hapo ni yale yale Yale ,utani ni kitu ambacho hakuna uhalisia [emoji817]%.Utani unakuwa neutral endapo hauumizi hisia za mtu. Mfano kwa sie vijana wa kitaa tumezoea kuitana majina ya utani utaskia “oya kichaa angu inakuaje” kimsingi mie sio kichaa so hainiumizi kihisia ila najua ni masihara tu ya ujana...
Mwengine anakuja ana complain “We mama nmekupigia simu sana hupokei qooma ww ushakosa hela” kimsingi najijua mie sio mama. Hilo nalipokea kwa kicheko tu tunagonga 5 maisha yanaendelea.
Hio ni kejeli mkuu sio utaniHapo ni yale yale Yale ,utani ni kitu ambacho hakuna uhalisia [emoji817]%.
Mfano unaweza kumtania mlemavu wa mkono/ mguu,,
-wewe kiguu Mambo vp?
-au wewe kikono vp?
Au mtu mwenye kichwa kibaya,
-Wewe kibichwa mambo vp?
Huu ni ugomvi.
Ndy mwanzo wa ugomvi.Hio ni kejeli mkuu sio utani