2-0 kama vile nili predict [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naomba matokeo [emoji16][emoji16][emoji16]
Hilo ndio Tatizo la wakenya, wakifanya vibaya, utasikia hawataji Kenya wanatumia kivuli cha East Africa, ila wakifanya vizuri, hapo hamna East Africa, ni Kenya kwa kwenda mbele, mtanzania akifanya vizuri, basi huyo ni East Africa, ila wakifanya vibaya, hao ni watanzania. Huo ni ubinafsi wa wakenya uliokomaa sana.Mimi huwa sikubaliani na wakenya kwenye hili,
Kwanini when it comes to shame lazima mhusishe East Africa nzima ikiwa kuna Uganda wanapiga kandanda Safi kabisa?
Mzee talk about your problems individually.
Kila mtu apambane na hali yake. Hata congo amefungwa 2Nil ila huweI fananisha Congo na Kenya, Ni kama mbingu na Dunia.
Btw, Hivi vipigo kwa ke na tz vimefanya humu leo kuna utulivu sana, najaribu kuimagine kama Kenya au Tanzania angetoa hata sare halafu mwingine akapigwa hizo mabao.
Pasingetosha humu[emoji2]
Mimi huwa sikubaliani na wakenya kwenye hili,
Kwanini when it comes to shame lazima mhusishe East Africa nzima ikiwa kuna Uganda wanapiga kandanda Safi kabisa?
Mzee talk about your problems individually.
Kila mtu apambane na hali yake. Hata congo amefungwa 2Nil ila huweI fananisha Congo na Kenya, Ni kama mbingu na Dunia.
Btw, Hivi vipigo kwa ke na tz vimefanya humu leo kuna utulivu sana, najaribu kuimagine kama Kenya au Tanzania angetoa hata sare halafu mwingine akapigwa hizo mabao.
Pasingetosha humu