UTANI TU

Joined
Nov 23, 2017
Posts
42
Reaction score
99
Kuna mtu kaniambia anauza simu ina uwezo wa kurekodi kila kitu hadi harufu, sasa lazima hii niininue,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bamwanga Jr
 
Unataka kurekodi harufu ya nini?
 
Kipindi Mkulu anaintroduce sera ya viwanda alijua kama hii nchi ina watu kama mleta mada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…