mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Kwa miaka nenda rudi tumekuwa tukifurahia huu utani wa timu zetu pendwa Simba na Yanga Kwa amani tele.. Ila Ile amani kwa Sasa imetoweka kabisaa, Sasa umekuwa ni uadui na chuki kabisa miongoni mwa washabiki wa timu hizi. Imefikia hatua mtu akimuona mshabiki wa timu tofauti na anayoshabikia yeye anamuona kama tahaira/mjinga/mpumbavu fulani hivi.
Sasahivi lugha ya kutaniana imebadilika na kuwa lugha ya matusi ya nguoni, kejeli, dhihaka nk.
Ugomvi na mitafaruku mingi imetapakaa kila mahala kisa huu Usimba na Uyanga.
Imefikia hatua hadi watu wanaombeana mabalaa kisa tu ni huu huu uSimba na uYanga.
Kile kitu ambacho kilikuwa kikituunganisha kama taifa na kutupa furaha kama taifa Sasa ndicho kinatugawa Kwa kasi sana.
Viongozi wa mpira, viongozi wa serikali na washikadau wote wapo kimya kwa huu uadui na chuki zinazoshamili kwny Jamii yetu kisa tu u Simba na Yanga.
Waandishi wa habari nao pia wamekuwa sehemu ya kuendeleza uadui na chuki miongoni mwa washabiki wa timu hizi.
Kama taifa tuchukue hatua.
Huuu mpasuko ukiendelea kuachwa utakuja kutuletea shida huko mbeleni
Sasahivi lugha ya kutaniana imebadilika na kuwa lugha ya matusi ya nguoni, kejeli, dhihaka nk.
Ugomvi na mitafaruku mingi imetapakaa kila mahala kisa huu Usimba na Uyanga.
Imefikia hatua hadi watu wanaombeana mabalaa kisa tu ni huu huu uSimba na uYanga.
Kile kitu ambacho kilikuwa kikituunganisha kama taifa na kutupa furaha kama taifa Sasa ndicho kinatugawa Kwa kasi sana.
Viongozi wa mpira, viongozi wa serikali na washikadau wote wapo kimya kwa huu uadui na chuki zinazoshamili kwny Jamii yetu kisa tu u Simba na Yanga.
Waandishi wa habari nao pia wamekuwa sehemu ya kuendeleza uadui na chuki miongoni mwa washabiki wa timu hizi.
Kama taifa tuchukue hatua.
Huuu mpasuko ukiendelea kuachwa utakuja kutuletea shida huko mbeleni