Utani wa Makabila: Ijue Historia ya utani wa Makabila Tanzania

Sikonge,
Mkuu utasababisha uaminike umeandika fix. Bunduki hazikuwepo. Ni zana za chuma tu mkuki, upinde na mshale. Bunduki zimeletwa na wazungu.

Mngoni alipita kiulaini hapo tabora akaingia buha. Hadi leo wapo buha wanaitwa walengwe. walitandikwa wakasalimu amri kwa buha
 
Kenya utani upo.......hasa wajaluo na Waluhya.......hadi derby yao ya mpira kati ya afc leopards(waluhya) na gormahia(luo) wanaiita mashemeji derby
 
Aisee hebu kacharaze vizuri bandiko lako ulitafutie nyama za kutosha kisha urejee hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je . Mtu anaweza kukwepa Mkono wa Sheria kwa kuvunja sheria ya kumtolea lugha ya kuudhi mwenzake kwa kisingizio cha Utani wa kikabila?

Swali kwenu wanasheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…