Utani wa Simba na yanga, kuhusu maandalizi ya timu

Utani wa Simba na yanga, kuhusu maandalizi ya timu

Mbobo

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2017
Posts
1,392
Reaction score
1,818
MTANI UNATUANGUSHA SANA.

Simba: Andaeni Timu

Yanga: Mtakoma Chama kaondoka

Simba: Andaeni Timu

Yanga: Trh 28 kutakuwa na Suprise

Simba: Andaeni Timu

Yanga: Suprise ni Luis Miquissone.

Simba: Andaeni Timu msije kutulaumu

Yanga: Tumemchukua Msukule.

Simba: Msukule hatacheza andaeni Timu

Yanga: Subiri siku ya Wananchi mtaona.

Simba: Vipi mtani Kapumbu kafanyaje?

Yanga: Tulikuwa tunatest mitambo subiri siku Rivers United ya Nigeria, huwezi umiza wachezaji kwa bonanza.

Simba: Andaeni timu Rivers sio timu ya kitoto!

Yanga: Kocha wenu hana vyeti.

Simba: Jamaa jiandaeni huyu kocha ndio kawatafutia ninyi nafasi hiyo mnayocheza.

Yanga: Tunatoa kozi za Fifa Class A. Tunaye Profesa.

Simba: Mtani umerekebisha makosa ya mechi ya kwanza?!?!

Yanga: sisi tumekodisha Ndege ndio timu ya kwanza

Simba: Mtani, Rivers hao watakufunga tena jamaa washaweka ahadi ya goli 4

Yanga: Hatuongei sasa hivi majibu tarehe 19.

Simba: Haya ngoja tuonee....
 
MTANI UNATUANGUSHA SANA.

Simba: Andaeni Timu

Yanga: Mtakoma Chama kaondoka

Simba: Andaeni Timu

Yanga: Trh 28 kutakuwa na Suprise

Simba: Andaeni Timu

Yanga: Suprise ni Luis Miquissone.

Simba: Andaeni Timu msije kutulaumu

Yanga: Tumemchukua Msukule.

Simba: Msukule hatacheza andaeni Timu

Yanga: Subiri siku ya Wananchi mtaona.

Simba: Vipi mtani Kapumbu kafanyaje?

Yanga: Tulikuwa tunatest mitambo subiri siku Rivers United ya Nigeria, huwezi umiza wachezaji kwa bonanza.

Simba: Andaeni timu Rivers sio timu ya kitoto!

Yanga: Kocha wenu hana vyeti.

Simba: Jamaa jiandaeni huyu kocha ndio kawatafutia ninyi nafasi hiyo mnayocheza.

Yanga: Tunatoa kozi za Fifa Class A. Tunaye Profesa.

Simba: Mtani umerekebisha makosa ya mechi ya kwanza?!?!

Yanga: sisi tumekodisha Ndege ndio timu ya kwanza

Simba: Mtani, Rivers hao watakufunga tena jamaa washaweka ahadi ya goli 4

Yanga: Hatuongei sasa hivi majibu tarehe 19.

Simba: Haya ngoja tuonee....
Kelele zote hizo mwisho kwenye Mechi ya Ngao ya jamii.Tarehe 25/9/3/2021.Mwisho,mwisho,mwisho manake mtu mzima atakula kipigo watu wakavurugane.Muda utasema,Bado wiki moja tu mwisho wa tambo na majigambo pale mtu mzima mwenye makele kama mwanamke wa kizaramo atakapoliwa bila huruma
 
Kelele zote hizo mwisho kwenye Mechi ya Ngao ya jamii.Tarehe 25/9/3/2021.Mwisho,mwisho,mwisho manake mtu mzima atakula kipigo watu wakavurugane.Muda utasema,Bado wiki moja tu mwisho wa tambo na majigambo pale mtu mzima mwenye makele kama mwanamke wa kizaramo atakapoliwa bila huruma
25/9/2021
 
Back
Top Bottom