Namaanisha akiifunga Tanzanian prisons mtaani🤣🤣🤣🪑Prison si ndio alikokuwa anakaa Mwabukusi, Slaa na Mdude_Nyagali ?
Ngoja kesho tuone ila simba kesho anashindaMimi Mnyama.
Ila kama umefatilia vizuri miaka hii mitano .
Yanga akifungwa, Simba naye anafungwa.
Bargharashia nyuma hapo Kama kabana mbupu kwa nguvu.
Tupo kwenye kikao kaka 😁😂😅😅😅Mashabik wa yanga lialia siwaoni leo
[mention]Labani og [/mention]
[mention]NALIA NGWENA [/mention]
[mention]Shadeeya [/mention]
[mention]Tate Mkuu [/mention]
[mention]Kilimbatz [/mention]
Shindwa pepo 😡😡Mimi Mnyama.
Ila kama umefatilia vizuri miaka hii mitano .
Yanga akifungwa, Simba naye anafungwa.
Ahaaaaaa,***** zake ujugu
Aaaahaaaa a