Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Eti hawa nao ni waokoaji, huu ni utani kama utani mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kumbe na wewe hovyo sana 😂😂😂😂😂😂😂😂Huyo mdogo ataokoa watoto huyo mrefu ataokoa warefu
Haujasikia kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake?Alafu kumbe na wewe hovyo sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Daaah sema hao waokoaji wanazinguaHaujasikia kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake?
Hii sio ya kwenye tukio la kuanguka ghorofa, ilikuwa ni kwenye usafiEti hawa nao ni waokoaji, huu ni utani kama utani mwingine.View attachment 3156751
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mfupi anaweza kuwa muhimu sana kupenya kwenye matundu madogo.
Kama hujui nyamazaHii sio ya kwenye tukio la kuanguka ghorofa, ilikuwa ni kwenye usafi
Huyo emolo ni kama hiyo gari ubavuni mwake anapenya popote, ila huyo mwingine labda kupangua matofari juuHuyo mdogo ataokoa watoto huyo mrefu ataokoa warefu