THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Mashabiki wa simba na watu wote wapenda Mpira niwaambie tu hivi kua GONGO ni GONGO No Matter ipo kwenye Chupa gani.
Ujue Mashabiki wa Mpira Hasa Simba kwa hapa Tanzania wanaongoza kwa kushabikia Matokeo ila sio Mpira.
Niwaambie Ukweli ambao hamtataka kuukubali BENCHIKA Sio Kocha na hajabadili chochote kiuchezaji kwa SIMBA ila alichobadili ni Matokeo tu ya Currently.
So ukiwa Mtu wakushabikia Matokeo nasema ipo siku utajaaa kwa Mfumo na utapoteza.
Ndio hicho niliwahi waonya Pindi cha Pira OBJECTIVES Kua Mpira mliokua mnacheza ilikua ni swala la Mda kuja Kuaibika coz mlikua mnafurahia leo ila hamjui kesho itakuaje coz mlikua mnacheza Mpira Mbovu.
Na Saiv Baada ya kuja huyu BENCHIKA Mkajisahaulisha na Matokeo ya Wydad na Sare zile 2 ila hamkutaka kuangalia kua Mnaendelea Kucheza Mchezo wenu Uleule (MBAYA)
Na kwenye Football kesho ndio kitu cha Msingi sana na ndio Maana unaona Team Nyingi Dunian saiv zina sajili Makinda maana zinaitaka kesho Bora sio Hii Bora ya Leo.
Simba Mnajikita kwenye Furaha Ya Leo ila hamtaki kutengeneza Kesho yenu..
Ndio Maana Mtaona YANGA anapoteza Leo ila amecheza Mpira Mzuri Team kama hio inakuambia hivi... KESHO itakua Bora na Utafurahi,
Ndio Maana hata YANGA alipopoteza COMMUNITY SHIELD wengi walikua wanasema Tuna Team Maana waliona Team Inavyocheza so matokeo lilikua swala la Mda tu.
#Endeleeni.
#NyieBadoniGongoTu.
Ujue Mashabiki wa Mpira Hasa Simba kwa hapa Tanzania wanaongoza kwa kushabikia Matokeo ila sio Mpira.
Niwaambie Ukweli ambao hamtataka kuukubali BENCHIKA Sio Kocha na hajabadili chochote kiuchezaji kwa SIMBA ila alichobadili ni Matokeo tu ya Currently.
So ukiwa Mtu wakushabikia Matokeo nasema ipo siku utajaaa kwa Mfumo na utapoteza.
Ndio hicho niliwahi waonya Pindi cha Pira OBJECTIVES Kua Mpira mliokua mnacheza ilikua ni swala la Mda kuja Kuaibika coz mlikua mnafurahia leo ila hamjui kesho itakuaje coz mlikua mnacheza Mpira Mbovu.
Na Saiv Baada ya kuja huyu BENCHIKA Mkajisahaulisha na Matokeo ya Wydad na Sare zile 2 ila hamkutaka kuangalia kua Mnaendelea Kucheza Mchezo wenu Uleule (MBAYA)
Na kwenye Football kesho ndio kitu cha Msingi sana na ndio Maana unaona Team Nyingi Dunian saiv zina sajili Makinda maana zinaitaka kesho Bora sio Hii Bora ya Leo.
Simba Mnajikita kwenye Furaha Ya Leo ila hamtaki kutengeneza Kesho yenu..
Ndio Maana Mtaona YANGA anapoteza Leo ila amecheza Mpira Mzuri Team kama hio inakuambia hivi... KESHO itakua Bora na Utafurahi,
Ndio Maana hata YANGA alipopoteza COMMUNITY SHIELD wengi walikua wanasema Tuna Team Maana waliona Team Inavyocheza so matokeo lilikua swala la Mda tu.
#Endeleeni.
#NyieBadoniGongoTu.